buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Maisha yanaenda kasi asee hii ilikua ya kulingishia hapa way back wapuuzi wanatuletea airport za Mabati.Isiolo international Airport👇👇
View attachment 3447947
Baada ya mpango wa kujenga na kurenovate viwanja vyote vya ndege
Now wanaona aibu wanatamani hata international iondoke 😂😂😂
Same kwa shaolin temple za SGR