Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna wakati mtoto wa Odinga alidai kuwa Olduvai Gorge ipo Kenya ha ha haπŸ˜‚

Cc: Mimi Wewe Yule
 
Kiingereza inakupiga mboro hadi huelewi positive news. 🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ matajiri wanataka kununua umeme tanzania kukwepa blackout

umeona sasa zile data za kupika vile zinafanya kazi hua munadanganywa muna umeme mwingi kuliko dunia nzima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Kunyans sijui wata acha ushamba wa kingereza kingi kwamba ndio ujanja lini..

Hapa CMA wameleta Kilima Maritime Service Bongo. More ships..more routes..Messina pia wana shift from Mombasa to Dar.

Hizo kelele za maneno matupu bila ushahidi ni uzwazwa tu. Tupo kwenye information age Sasa hivi...kila kitu unakipata chap tu sio kama zamani... Hii kuwekeza kwenye propaganda za online ni kupoteza muda na resources tu.
Mambo yote kwa ground....ndio maana kunyans are now bitter kuona namna Bongo inasonga mbele bila kelele.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ matajiri wanataka kununua umeme tanzania kukwepa blackout

umeona sasa zile data za kupika vile zinafanya kazi hua munadanganywa muna umeme mwingi kuliko dunia nzima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tunanunua ju tuna pesa due to higher demand.
 
Hahaha unauimia sana kuona berths zote tatu za Lamu Port ziko busy zinahudumia meli kubwa kubwa. 🀣🀣🀣
 
muna pesa gani na hua munadanganya hapa muna zalisha umeme mwingi kuliko east african countries umeona vile data za kupika vile zinawaumbua sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Demand yenu ya umeme ni ngapi? Kama imeshinda Kenya nafunga hii account. 🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…