Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Kuna wakati mtoto wa Odinga alidai kuwa Olduvai Gorge ipo Kenya ha ha haπUzuri siku hizi watu wamewashtukia kama ni waongo,hata siku 1 huwezi kukuta mTanzania akidanganya kuhusu kitu cha kunyaland ni cha kwetu,hao wangese sasa,ndio maana ile ban inawauma mno,kikubwa serikali ile ban iifanye kwa vitendoView attachment 3445603
hvi ww unaijua 3b usd inavofanana punda wewe πππππ nioneshe hio tatu yenye 3b usd imelala hapoYou want to see 3b usd kwa picha?? Kweli wewe unakuaga ng'ombe
Sijui kwanini TANESCO hawatoagi hizo data. Hata idadi ya wateja wa TANESCO sijui ni ngapi?πππππ matajiri hao
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1957291363763925200?s=46
Kiingereza inakupiga mboro hadi huelewi positive news. π€£π€£πππππ matajiri hao
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1957291363763925200?s=46
πππππ matajiri wanataka kununua umeme tanzania kukwepa blackoutKiingereza inakupiga mboro hadi huelewi positive news. π€£π€£
Tunanunua ju tuna pesa due to higher demand.πππππ matajiri wanataka kununua umeme tanzania kukwepa blackout
umeona sasa zile data za kupika vile zinafanya kazi hua munadanganywa muna umeme mwingi kuliko dunia nzima ππππ
muna pesa gani na hua munadanganya hapa muna zalisha umeme mwingi kuliko east african countries umeona vile data za kupika vile zinawaumbua sasaπππTunanunua ju tuna pesa due to higher demand.
Hahaha unauimia sana kuona berths zote tatu za Lamu Port ziko busy zinahudumia meli kubwa kubwa. π€£π€£π€£Kunyans sijui wata acha ushamba wa kingereza kingi kwamba ndio ujanja lini..
Hapa CMA wameleta Kilima Maritime Service Bongo. More ships..more routes..Messina pia wana shift from Mombasa to Dar.
Hizo kelele za maneno matupu bila ushahidi ni uzwazwa tu. Tupo kwenye information age Sasa hivi...kila kitu unakipata chap tu sio kama zamani... Hii kuwekeza kwenye propaganda za online ni kupoteza muda na resources tu.
Mambo yote kwa ground....ndio maana kunyans are now bitter kuona namna Bongo inasonga mbele bila kelele.
Demand yenu ya umeme ni ngapi? Kama imeshinda Kenya nafunga hii account. π€£π€£muna pesa gani na hua munadanganya hapa muna zalisha umeme mwingi kuliko east african countries umeona vile data za kupika vile zinawaumbua sasaπππ
unafkiri kwann tunazalisha umeme mwingi zaidi kuliko nchi yoyote east africa unajua sababu?? πππππDemand yenu ya umeme ni ngapi? Kama imeshinda Kenya nafunga hii account. π€£π€£