Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

***** siku prism ikifikisha 34 , times 38 na britam 33 unitag ntakua nasubiria😀😀😀😀😀😀

na siku montave na pinnacle zikianza ujenzi pia unitag
sa kweni inshu ni nini??? weka zote 22flrs uridhike.

haya leta list yako ya over 20flrs sasa
 
Acha tabia za kikike wewe. Mbona unaongelea mtu ambaye hajakuongelesha?. Adress me, not depay.
Sijakufuata inbox akipita ataona...issue za kauli za kipuuzi nyie ndio mnaongoza, ww ndio una umama uache
 
Sisi tumesema over 30F mkaomba over 18F. Tunataka over 30F
Weka hapa na mimi niweke. Hahahaha!!
Nimewawekea zenu from a reliable sources numerically, sasa Fanya the same na siyo moja moja za Kenya but zikiwa well arranged from a reliable and credible source.
 
Prism Tower ni flr ngapi?
Weka orodha hapa siyo kuniuliza maswali ya kitoto. Nairobi is the old Town

Mambo ya AZAM hayooooo

upload_2017-12-30_16-34-33.png
 
Nimewawekea zenu from a reliable sources numerically, sasa Fanya the same na siyo moja moja za Kenya but zikiwa well arranged from a reliable and credible source.
Anza kwanza wewe kuweka from credible source, maana nyie wakenya hamuaminiki mnajulikana kwa kupika data.
 
Hadi na ww unaweweseka?hahaha Kwani unaugomvi na watz Au [emoji23][emoji23][emoji23] mbona baadhi yenu mnamaneno yakishenzi mf Depay but unawapotezea tu....ukisoma maneno ya depay unaweza sema anamahela mengi anaishi USA au Germany na viwanda mob anamiliki....but kumbe yuko apo naivasha tu [emoji38][emoji38], penye ukwel msiogope kusema...Ndio mana nikiwahumu ndani sibabaiki na maneno ya mtu ....

Get me a Danganyikan slave...... I want one.
 
sa kweni inshu ni nini??? weka zote 22flrs uridhike.

haya leta list yako ya over 20flrs sasa
usiwe mjinga wa kuongeza floor sisi sio nigerians sisi wabongo utamdanganya nani hapa???😀😀😀
 
Back
Top Bottom