Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Nitaelewaje mtu mwenye akili taakhira kama wewe mwenye hujui picha ni nini??Kama una akili timamu itakuwa umenielewa.
Nitaelewaje mtu mwenye akili taakhira kama wewe mwenye hujui picha ni nini??Kama una akili timamu itakuwa umenielewa.
Perhaps the marketing guys at jnicc should do more and capture the international markets for conferences...porojo tu. three quarter ya meetings zote za Africa hufanyika KICC or cape town.
Leo IGAD conference ilifanyika
Perhaps the marketing guys at jnicc should do more and capture the international markets for conferences...
Ulijitokeza au ulikimbia nilikwambia ulete jengo bank of Kenya ulileta au ulikimbia hhhhahahah unajifanya mjuaji sana twende kazi sasa
Si nilisema?? Mtu hawezi uliza, tayari umeonyesha huna akili razini!!Baada ya kuonesha magari utaanza kuonesha nguo za ndani za wakenya. Wewe twende kwenye kichapo. Tunawachapa kichapo cha mbwa mwizi.
Nimekuambia kwamba kwa mtu mwenye akili timami atakuwa amenielewa. Likini kwa yule mwenye upepo kichwani ataanzisha ligi. Hivi kwa akili zako unaona kuna umuhimu wa kuleta picha ya gari kwa GT? Nakutaka unijibu haraka.Si nilisema?? Mtu hawezi uliza, tayari umeonyesha huna akili razini!!
You are right Kicc still tops compared to the rest but I bliv with the right marketing stratergy even Dar can compete, those conferences dont fall from the moon, having a well focoused marketing team will bring the conferences...KICC is in its own league in Africa, Rwanda build a conference center just a year ago, with beautiful modern aesthetics, but in functionality can't equal KICC just same as JICC
Amphitheatre
![]()
Ball Rooms
![]()
![]()
Outside the Tsavo Ballroom
![]()
Halls
![]()
Rooms
![]()
Hotels
![]()
![]()
The architecture used is world marvel
Nimekuambia kwamba kwa mtu mwenye akili timami atakuwa amenielewa. Likini kwa yule mwenye upepo kichwani ataanzisha ligi. Hivi kwa akili zako unaona kuna umuhimu wa kuleta picha ya gari kwa GT? Nakutaka unijibu haraka.
Naona sasa umeanza kutoa povu. Povu la nini sasa!? Nieleze taratibu. Baada ya kupigwa za uso kisha kuangukia pua umeamua kuweka oicha za magari? Unataka ligi ya magari?Macho yako yana taabu??? Nimeandika hapo juu, "Nairobi, a hustlers Paradise" Did you understand my caption??? Wajua acha kukurupuka, hiyo si ligi yako, angalia picha, soma kilichoandikwa elewa, weka yako, kama huna, jiendee kwa raha zako!!
Nairobi haimo humu!!Baada ya kuonesha magari utaanza kuonesha nguo za ndani za wakenya. Wewe twende kwenye kichapo. Tunawachapa kichapo cha mbwa mwizi.
You are right Kicc still tops compared to the rest but I bliv with the right marketing stratergy even Dar can compete, those conferences dont fall from the moon, having a well focoused marketing team will bring the conferences...
Nairobi haimo humu!!
Naona sasa umeanza kutoa povu. Povu la nini sasa!? Nieleze taratibu. Baada ya kupigwa za uso kisha kuangukia pua umeamua kuweka oicha za magari? Unataka ligi ya magari?
Inamaana nyumba za zamani hazina vyoo? Au unamaanisha vioo!?Hilo nakubaliana nawe!! Kenya mara nyingi hatujazingatia ile uzuri wa nje. Wakenya wengi wanakasumba waliotoa kwa wakoloni. Hupenda majumba yanayojengwa kama castles, nyumba za ukuta wa saruji, Hata hivyo wakenya wameanza kubadilika na kuanza kuona kwamba watu wengine hupenda nyumba za vyoo, na zilizo na aesthetics nzuri ya nje, nyumba zinazojengwa sasa, nadhani ni za kimtindo huu wa vyoo.
Pia kulingana na mazingira, Tropics hazitakikani nyumba za vyoo sana, sababu ya jua na joto. Kenya watu huzingatia hili. Jumba la Le Mac, ametumia vyoo lakini kwa technologia ya juu sana.
Kwa hili Kenya itabidi tujaribu sana
Mfano wa mitindo ya kikoloni
![]()
![]()