Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kawaida, nyinyi mnataka kuprove😂 sis tunaishi maisha yetu, mechi yenye uhitaji wa kujaza uwanja utaona inakuaje😄
Mlishindwa kujaza Stadium jana. So acheni kujidanganya ati mnapenda mpira.
 
Kupanda hapo juu unajua ni pesa ngapi?

Hapo juu huezifika bila kulipa 200 bob. Ama unadhani wamepanda bure?😂😂😂
Europe ya Wakenya ni Tanzania 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hakuna mtanzania anaweza kwenda kuchezea poor country Kenya

1754251023407.png
 
Ni kawaida, nyinyi mnataka kuprove😂 sis tunaishi maisha yetu, mechi yenye uhitaji wa kujaza uwanja utaona inakuaje😄
Excuse after excuse till you do it then all of a sudden hatutapua kwa jukwaa.. ( I remember apartments and malls)..😁😁
 
It's clear based on your statement you have never been on an observation deck. Mshamba ni mshamba tu.
Hamuwezi kuwalipa watanzania. Dreams za wakenya ni kuja kuchezea Tanzania na Kufanya kazi Tanzania. Kenya is Mexico and Tanzania is USA. Fact - Tukikohoa kidogo mtu mnakufa njaa

1754251340164.png
 
Back
Top Bottom