Ushaanza kutafuta visababu. No. 1 mpaka 34 kila kitu kiko wazisihitaji renders nachotaka kuona majengo yaliyosimama nairobi over 20 uko tayari twende kazi😀😀
usiwe muoga wewe ni mwanaume bana😛😛
How do you feel when your house looks exactly the same way as your neighbor's?! I hate Estates.some of houses in msa![]()
nakuuliza uko tayari tuanze jengo moja baada ya moja tena kwa picha sio maneno majengo yaliyosimama nairobi uko tayari😀😀😀😀😀Ushaanza kutafuta visababu. No. 1 mpaka 34 kila kitu kiko wazi
Ulitaka over 20+. Britam ni 21flrs.... haya twende kazi.eti britam 33 hahahah😀😀😀😀 aise huu mwaka nimeona vituko vyenu sana
hayo majengo ni ya mtu mmoja investor😀😀How do you feel when your house looks exactly the same way as your neighbor's?! I hate Estates.
haya tuanze over 20 weka jengo naweka jengo twende kazi tuache maneno mengi😀😀😀😀😀😀Ulitaka over 20+. Britam ni 21flrs.... haya twende kazi.
No side-shows
No. 1 mpaka 34 sote twajua ni majengo yaliyosimama tisti. Kama kuna pingamizi au tashwishi ya jengo lolote semanakuuliza uko tayari tuanze jengo moja baada ya moja tena kwa picha sio maneno majengo yaliyosimama nairobi uko tayari😀😀😀😀😀
unanionesha renders hahahha😛😛😛😛
unajua maana ya kusimama ???? 😀😀😀😀No. 1 mpaka 34 sote twajua ni majengo yaliyosimama tisti. Kama kuna pingamizi au tashwishi ya jengo lolote sema
mimi sio mjinga. nimekuwekea yote kwa mpigo maana sitaki nipoteze wakati, tufike katikati uanze kulialiahaya tuanze over 20 weka jengo naweka jengo twende kazi tuache maneno mengi😀😀😀😀😀😀
sitaki render usivuruge narudia no renders nataka majengo yaliyosimama nairobi
Yani smartness....nyie mafala aje na niliona mnajenga 😱How do you feel when your house looks exactly the same way as your neighbor's?! I hate Estates.
Wanapenda ukifika sehemu pawe panafanana kila kona kama miguu ya kuku ndio inakuwa ulaya wanayoitaka.hayo majengo ni ya mtu mmoja investor😀😀
nasema weka jengo moja baada ya moja kwa picha tuanze mm na wewe unaweka na mm naweka majengo yaliyokamilika nairobi tuanze acha uoga😀😀😀mimi sio mjinga. nimekuwekea yote kwa mpigo maana sitaki nipoteze wakati, tufike katikati uanze kulialia
Kuanzia No. 1 mpaka 34.... single out building below 20flrs.unajua maana ya kusimama ???? 😀😀😀😀
yamekwisha ujenzi ndio maana yake
unajua kwann nafanya hvi kwasababu mulishangaza dunia nssf yenu ilipopunguzwa floor kutoka 30 kwenda 15 sasa usije tuonesha jengo la 30 alaf kesho tukaskia limeishia 14
Awe investor lkn anaiuza .....c.kurenthayo majengo ni ya mtu mmoja investor😀😀
narudia acha uoga weka jengo naweka jengo moja baada ya moja unaogopa nn weka picha tuanze mara moja😀😀😀😀😀😀Kuanzia No. 1 mpaka 34.... single out building below 20flrs.
Sitaki sideshows
viwanja hamuna ku rent ni lazima😀😀😀Awe investor lkn anaiuza .....c.kurent
hahahahahaha.... jamaa, chekini msee analia refer apige firimbi game iisheunajua maana ya kusimama ???? 😀😀😀😀
yamekwisha ujenzi ndio maana yake
unajua kwann nafanya hvi kwasababu mulishangaza dunia nssf yenu ilipopunguzwa floor kutoka 30 kwenda 15 sasa usije tuonesha jengo la 30 alaf kesho tukaskia limeishia 14