Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Where is your bongoslum?
top-10-african-countries-by-manufacturing-output-value-2023-scaled.webp


Again where is bongoslum

Expanding Health Product Manufacturing in Africa: Ideas for Development  Finance Institutions, Procurers, and Policymakers | Center For Global  Development
we kweli unaamini hiyo list 🤣🤣🤣
 
For the past 10 years hawajfanya any significant project ya tune hiyo lazima wapigie kelele remember maskini akipata matako hulia mbwata
Jmmlisha SGR na LAPPSET.

Hapo mradi uliofanyika ni mmoja tu, GEOTHERMAL peke yake.


Lakini wako busy kupiga kelele za Stadium.
20250624_084058.jpg
 
Kwanza tukusaidie exports ya goods zote ni hizo hapo bila servicesView attachment 3380654
Bidhaa mlizosafirisha kwa wingi ni hizo hapo jikadilie sasa mnaweza fika hata 1 bil ya manu. GoodsView attachment 3380660
Kenya hovyo sana wametoa wapi oil? Maana they count oil inayoenda Uganda, Rwanda na DRC kama exports sasa na sisi tukifanya hivyo si itakuwa 30bn. Accounting za kundudwellers ni bure kabisa
 
Kenya hovyo sana wametoa wapi oil? Maana they count oil inayoenda Uganda, Rwanda na DRC kama exports sasa na sisi tukifanya hivyo si itakuwa 30bn. Accounting za kundudwellers ni bure kabisa
Kenya kuna madini na Oil huko Turkana ila yanachimbwa kimagendo.
 
Mwanza ni karibu na mara region ambayo inapakana na Serengeti national park . Kwahiyo mara kuna mzigo copper kutoka kamba hills na gibaso estimated 40mil tonnes
Slate kutoka buhemba
Kuna mzigo wa pamba, samaki mchele kutoka shinyanga kwenda dar
Ukija kagera pale , ngara kuna cobalt, nickel kutoka kabanga, kuna tin
Niendeleee
Umesahau dhahabu ya lake zone.
 
Mzungu akisemaga Tanzania have best trains in Africa and they are Electric. Mkenya kitu cha kwanza kujibu kwa kukoment kuwa ( hukwama msituni, they want to replace with diesel, they don't have enough Electricity etc)
Hiv mara ya mwisho hiz trains kupata shida ni lin wadau, maana ni kitambo kweli
Shida si wakenya na wachina walikuwa wakiiba copper wires kwenye mifumo ya reli mapaka walipokamatwa.
 
Kenya kuna madini na Oil huko Turkana ila yanachimbwa kimagendo.
hiyo oil haijaanza commercial production bado. oil ya neighbours ndio inakuwa counted kama exports kisa tuu imepitia mombasa port. Na hata kwenye mahesabu yao utaona exports of oil to Uganda and the rest.
 
hiyo oil haijaanza commercial production bado. oil ya neighbours ndio inakuwa counted kama exports kisa tuu imepitia mombasa port. Na hata kwenye mahesabu yao utaona exports of oil to Uganda and the rest.
Ukiwauliza, wanakwambia wao ni middle men kama Dubai.

Wanahesabu kinachopita kwao.
 
Mzungu akisemaga Tanzania have best trains in Africa and they are Electric. Mkenya kitu cha kwanza kujibu kwa kukoment kuwa ( hukwama msituni, they want to replace with diesel, they don't have enough Electricity etc)
Hiv mara ya mwisho hiz trains kupata shida ni lin wadau, maana ni kitambo kweli
Huwezi kukuta mtz anatoa negative comment kwenye post yoyote ya kenya,subiri sasa uone comment za wakunya kwenye post inayohusu TZ,jamaa ile chuki ya wao kwa wao wameihamishia hadi kwa nchi jirani,wapumbavu sana
 
Back
Top Bottom