Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya hovyo sana wametoa wapi oil? Maana they count oil inayoenda Uganda, Rwanda na DRC kama exports sasa na sisi tukifanya hivyo si itakuwa 30bn. Accounting za kundudwellers ni bure kabisa
Kenya kuna madini na Oil huko Turkana ila yanachimbwa kimagendo.
 
Mwanza ni karibu na mara region ambayo inapakana na Serengeti national park . Kwahiyo mara kuna mzigo copper kutoka kamba hills na gibaso estimated 40mil tonnes
Slate kutoka buhemba
Kuna mzigo wa pamba, samaki mchele kutoka shinyanga kwenda dar
Ukija kagera pale , ngara kuna cobalt, nickel kutoka kabanga, kuna tin
Niendeleee
Umesahau dhahabu ya lake zone.
 
Mzungu akisemaga Tanzania have best trains in Africa and they are Electric. Mkenya kitu cha kwanza kujibu kwa kukoment kuwa ( hukwama msituni, they want to replace with diesel, they don't have enough Electricity etc)
Hiv mara ya mwisho hiz trains kupata shida ni lin wadau, maana ni kitambo kweli
Shida si wakenya na wachina walikuwa wakiiba copper wires kwenye mifumo ya reli mapaka walipokamatwa.
 
Kenya kuna madini na Oil huko Turkana ila yanachimbwa kimagendo.
hiyo oil haijaanza commercial production bado. oil ya neighbours ndio inakuwa counted kama exports kisa tuu imepitia mombasa port. Na hata kwenye mahesabu yao utaona exports of oil to Uganda and the rest.
 
hiyo oil haijaanza commercial production bado. oil ya neighbours ndio inakuwa counted kama exports kisa tuu imepitia mombasa port. Na hata kwenye mahesabu yao utaona exports of oil to Uganda and the rest.
Ukiwauliza, wanakwambia wao ni middle men kama Dubai.

Wanahesabu kinachopita kwao.
 
Mzungu akisemaga Tanzania have best trains in Africa and they are Electric. Mkenya kitu cha kwanza kujibu kwa kukoment kuwa ( hukwama msituni, they want to replace with diesel, they don't have enough Electricity etc)
Hiv mara ya mwisho hiz trains kupata shida ni lin wadau, maana ni kitambo kweli
Huwezi kukuta mtz anatoa negative comment kwenye post yoyote ya kenya,subiri sasa uone comment za wakunya kwenye post inayohusu TZ,jamaa ile chuki ya wao kwa wao wameihamishia hadi kwa nchi jirani,wapumbavu sana
 
The statement from Trump though, yani amedharau Iran mbaya sana. 🤣 🤣


Image
Mtu anakupiga alafu anakuambia PEACE😂😂🤣😂
 
Ukiwauliza, wanakwambia wao ni middle men kama Dubai.

Wanahesabu kinachopita kwao.
Dubai na Singapore wao wanao msuli wa kununua commodities na kuziuza kwa third party wao hela ya unga tuu shida ndio itakuwa kuhodhi commodities? Uganda analipa mafuta uarabuni kampuni za kenya zinasambaza mzigo ukivuka border unahesabiwa kama exported from kenya akili za kindezi kwelikweli.
 
Unashangaa nini remitansi za Tz kuwa chini huoni aibu kujilinganisha na Sudan na Rwanda amabo wamekuwa vitani muda mrefu wananchi wakakimbia nchi sasa nyie kwa nini mnakimbia nchini kwenu kuna nini? Sisi hatuna uhitaji wa kutaka kuishi nje ya TZ hujasikia msemo unaosema Bongo New York?
In the Top 10 countries in the world by remittances, there is none that has been to war recently.
Please take a handkerchief and let me break down why Bongolalas have that little inflows.

1. Bongolalas are lazy
2. Bongolalas are very lazy
3. Bongo curriculum is inadequate for the world market.
4. Hamuwezi ongea kiingereza bila kunyongwa na mate na ulimi.
5. Very little exposure.
6. Zero ambition. Very comfortable in misery.
7. Overall wabongo wengi ni wapumbavu tu. Very low IQ. Partly because you were academically instructed in the wrong language.
In terms of building a proper context and understanding of the modern world today, Kiswahili ranks very low.
I can't imagine the horror of learning your first concepts as a child in class 1 in Swahili.

to.JPG
 
Back
Top Bottom