Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Image
 
Just imagine mtu anajisifia anajua kuongea Kingereza vizuri kuliko watanzania. 🤣 🤣 🤣 🤣 Waingereza wenye hawajisifii kuongea kingereza mbele ya mataifa mengine

Anyway, hayo ndio maisha waliyochagua, kuwa watumwa milele.

Ukiwanonesha vitu kama hivi wanaumia sana sana

View attachment 3376552
Juzi Pedri akiwa anatalii Tanzania mkunya akacoment "sasa anaongea lugha gani na Tanzania hawajui kizungu" mbongo akamuambia Pedri anaongea Spanish hajui Kingereza.
Mkunya alikosa comeback hajarudi tena. 😂😂😂
 
Juzi Pedri akiwa anatalii Tanzania mkunya akacoment "sasa anaongea lugha gani na Tanzania hawajui kizungu" mbongo akamuambia Pedri anaongea Spanish hajui Kingereza.
Mkunya alikosa comeback hajarudi tena. 😂😂😂
🤣 🤣 🤣 🤣 Wakenya dunia ilishawaacha miaka ya 1963. Bado wanaishi kwenye utumwa wa Malkia Elizabeth. Wakati duniani kote watu wapo huru.
 
Back
Top Bottom