Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiwanda cha nguo Dar es salaam EPZ







 
View attachment 661537 That is why we say there is a big difference between LDC and middle income
Hizi data ni za miaka ya nyuma sana, ivi wajua niko mahari gani na nna access HSPDA ya 2.85G (H+) nikiwa wapi? Sikuhizi mitandao ya simu yasimika minara ya data na simu hadi huko ndani sana mfano Halotel... na simu janja (smartphone) karibu ni nyingi kuliko simu za kawaida (featured phone) 95% is big lie for TZ
 
Amka kumekucha mshamba.
Mimi sio mshamba,ni mwerevu zaidi yako.

kwanza I'm older than you,I'm in my 50s while you are on your 20s.you should call me dady.[emoji23] [emoji23]

you are just a poor kid fresh from college searching for any underpaid temporary job in kenya,though unsuccessful[emoji23] [emoji23].

ujanja unaofanya leo,Mimi niliufanya siku nyingi sana hapa jf,pia nikaufanya tena mwezi October mwaka 2017.

nilimfanyia yule mkenya engineer kilaza aliyekuwa anatusumbua sana wakati fulani hapa kwenye thread yetu kwa porojo zake.

nilichonfanyia hatakaa akasahau katika maisha yake...akaamua kutoweka kabisa kwa hii thread... siku hizi anapitia kwa mbali.[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…