Kenya.exports
This growth was largely driven by a 77.3% increase in re-exports, including kerosene-type jet fuel to neighbouring countries. The EAC remains the primary destination for these exports, with intra-EAC trade steadily growing and contributing significantly to Kenya’s export earnings.
Yes Dodoma inahitaji more than airport
Imepata stadium but it needs more
It needs
1. festivals at least 3 kwa mwaka kama wine testing festivals , and other events
2. needs Art Gallery
3. Needs museum
4. Idoor stadium
5 Special Tech city ambapo kutakua na incubators mambo kama hayo
It needs to have things tourist can do , so far dodoma bado hata mslato ikiisha haitafikia vibe la dar na Msalato Airport wont see a lot of numbers kama tunavyodhani , njia nyingine Msalato inaweza kujenga cargo terminal na logistics facility kubwa ku attact airlines
Yote hayo ya Nini mkuu, only a vibrant manufacturing industry yote hayo yanakuja yenyewe.
Serikali ikiwa serious kwenye uwekezaji kwenye viwanda mji utawaka tu tena it will be sustainable.
Kuna kitu Hawa viongozi wetu sidhani kama wanaelewa,
Huwezi endesha uchumi wa watu Milioni 70+ without a sustaining manufacturing industry.
Tutazidi Kuona more and more bajaji + Bodaboda plagues kwenye miji yetu and that's not a surprise, we don't have a Manufacturing industry ku absorb vijana wengi ambao wengi wanatemwa na vyuo Kila mwaka na hakuna kwa kwenda.
Unaogopa kuleta link sababu unajua umeiokota View attachment 3368467View attachment 3368467
Exports In the year ending February 2024, exports of goods and services rose by 14.7%, reaching USD 14,274 million compared with the level recorded in the corresponding period in 2023.
BUSINESS FRONTIER
Tanzania’s External Sector Strengthens on Export and Tourism Recovery
April 10, 2025
In the year ending February 2025, Tanzania’s external sector showed remarkable improvement, with the current account deficit narrowing to USD 2.81 billion from USD 4.43 billion in the previous year. This positive shift was driven by a rise in total exports to USD 14.29 billion, up from USD 12.23 billion, supported by increased earnings from […]
In the year ending February 2025, Tanzania’s external sector showed remarkable improvement, with the current account deficit narrowing to USD 2.81 billion from USD 4.43 billion in the previous year. This positive shift was driven by a rise in total exports to USD 14.29 billion, up from USD 12.23 billion, supported by increased earnings from gold (USD 2.87 billion) and traditional exports like cashew nuts and coffee. Tourism earnings surged to USD 3.25 billion following 1.8 million international arrivals, marking a 33.6% rise. Meanwhile, the balance of payments deficit declined significantly to USD 58.6 million, signaling enhanced resilience in Tanzania’s foreign exchange position.
Tanzania’s External Sector Performance – February 2025
🔸 1. Current Account
The current account deficitnarrowed to USD 2.81 billion for the year ending February 2025, down from USD 4.43 billion in February 2024.
This improvement is attributed to increased export earnings, particularly from services like tourism and traditional exports.
🔹 2. Exports of Goods and Services
Total exports amounted to USD 14.29 billion, up from USD 12.23 billion in the previous year.
In the year ending February 2025, Tanzania’s external sector showed remarkable improvement, with the current account deficit narrowing to USD 2.81 billion from USD 4.43 billion in the previous year. This positive shift was driven by a rise in total exports to USD 14.29 billion, up from USD 12.23...
In 2024, Tanzania’s trade profile reflects its position as a developing economy reliant on primary commodity exports and significant imports of energy and capital goods. With total exports valued at $7.06 billion and imports at $12.05 billion, the country recorded a trade deficit of $4.99...
In 2024, Tanzania’s trade profile reflects its position as a developing economy reliant on primary commodity exports and significant imports of energy and capital goods. With total exports valued at $7.06 billion and imports at $12.05 billion, the country recorded a trade deficit of $4.99...
That's data for both goods and services. We were discussing about goods and manufactured goods to be precise, lakini kama kawaida yako kurukia vitu bila kuelewa. Tuliza kiherehere oyaaaa.
Yote hayo ya Nini mkuu, only a vibrant manufacturing industry yote hayo yanakuja yenyewe.
Serikali ikiwa serious kwenye uwekezaji kwenye viwanda mji utawaka tu tena it will be sustainable.
Kuna kitu Hawa viongozi wetu sidhani kama wanaelewa,
Huwezi endesha uchumi wa watu Milioni 70+ without a sustaining manufacturing industry.
Tutazidi Kuona more and more bajaji + Bodaboda plagues kwenye miji yetu and that's not a surprise, we don't have a Manufacturing industry ku absorb vijana wengi ambao wengi wanatemwa na vyuo Kila mwaka na hakuna kwa kwenda.
In 2024, Tanzania’s trade profile reflects its position as a developing economy reliant on primary commodity exports and significant imports of energy and capital goods. With total exports valued at $7.06 billion and imports at $12.05 billion, the country recorded a trade deficit of $4.99...
sasa mali ghafi zinawezaje kulindwa na kuwa managed vizuri bila ya management systems za maana? Unajuaje content ya huwa mchanga na thamani yake alisi bila analytical softwares? Funga mdomo na ficha upumbavu au unafikiri kila kitu ulinzi wa bunduki? Unajua vitu vinaitwa spyware? Au unafikiri unapopita airport au bandarini na mzigo kuwa scanned imewezekana vp? Watu wa tech industry wametengeneza detection programs/softwares! Sasa hivi drones zinakuwa operated 1000 miles away na kuwa na precisions on target! How about guided missiles? unafikiri inawezekanaje? Ficha upumbavu! Kuna vitu hujui then kuwa mpole! BTW wacha kuni-quote kma unaendelea kubisha juu ya umuhimu wa soft tech!
Siku hizi hatupo kizembe( Either Tanzania / SA) SADC forever 😎siku hizi shelves za TZ supermarket ukitoa Blueband Mkundustan hana lake 😂
Kwenye Maziwa first Choice na Clover anapelekeshwa na Asas, Kilimanjaro, Tanga Fresh, Shafa , Dar fresh etc kwa ukanda wa Dar. Kule Arusha pia kuna wakali wengine.
sasa mali ghafi zinawezaje kulindwa na kuwa managed vizuri bila ya management systems za maana? Funga mdomo na ficha upumbavu au unafikiri kila kitu ulinzi wa bunduki? Unajua vitu vinaitwa spyware? Au unafikiri unapopita airport au bandarini na mzigo kuwa scanned imewezekana vp? Watu wa tech industry wametengeneza detection programs/softwares! Sasa hivi drones zinakuwa operated 1000 miles away na kuwa na precisions on target! How about guided missiles? unafikiri inawezekanaje? Ficha upumbavu! Kuna vitu hujui then kuwa mpole!
Kwanza hizi details zako ni za uongo by the year 2023/2023 hamkuwahi fikisha export of goods za 8.24bil usd bali ilikuwa ni 7.96bil usd na Tanzania export 7.86 usd
That's data for both goods and services. We were discussing about goods and manufactured goods to be precise, lakini kama kawaida yako kurukia vitu bila kuelewa. Tuliza kiherehere oyaaaa.
Aah Kumbe nyinyi uchumi wenu mnaojitambiaga kuwa ni service deliver bado mnapigwa na Tanzania kwenye service delivery, kwahiyo baadabya re exports za kerosene kipi mnacho export.
Mimi nilikuwekea na za service ili utueweke tota exports zenu🤣🤣🤣
Kwanza hizi details zako ni za uongo by the year 2023/2023 hamkuwahi fikisha export of goods za 8.24bil usd bali ilikuwa ni 7.96bil usd na Tanzania export 7.86 usd
Aah Kumbe nyinyi uchumi wenu mnaojitambiaga kuwa ni service deliver bado mnapigwa na Tanzania kwenye service delivery, kwahiyo baadabya re exports za kerosene kipi mnacho export.
Mimi nilikuwekea na za service ili utueweke tota exports zenu🤣🤣🤣
I have quoted data from the same web source na yenye ulileta, sasa sahii tena imegeuka za uongo after umeona we exported more goods than bongoslum yet hatuna abundant minerals. 🤣🤣
kwahiyo CRM program ya Kopagas ya Mendes huoni kwamba kuna potentials? Waliotengeneza government payment systems? Selcom? Hivi unajua kuna vijana wangapi wanajua programming languages na wanatengeneza apps wako mitaani? Wanahitaji incurbation centers na uidance ya likes of Mendez
August 1998 wakati wa jaribio la kumpindua Laurent Kabila (Vikosi vya Rwanda na Uganda) limefikia hatua za mwisho kungia Kinshasa, Wanajeshi wa Tanzania amabao walikuwa na kandarasi ya kutrain Congolese army na presidential security wakawa wako stranded na kama nchi tulikuwa hatuna uwezo wa kuwa-evacuate kwa wakati sahihi. Hivyo Mkapa alimpigia Thabo Mbeki na kumuomba msaada huo na through SANDF Vikosi vya Tanzania vilikuwa airlifted kwa wakati.
I have quoted data from the same web source na yenye ulileta, sasa sahii tena imegeuka za uongo after umeona we exported more goods than bongoslum yet hatuna abundant minerals. 🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.