Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The Wings Of Kilimanjaro 🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Screenshot_20250613_102045_Google.jpg
 
Leta data wacha ujinga.
Kwanza tumsaidie ni kampuni moja ya the guardian angel yenye trip 13 kwenda Kisumu na ndo kampuni yenye trip nyingi kuliko zote kwenda huko western Kenya kwa siku na jambojet ndo inatrip 5 kwa siku
Kumbuka western Kenya ni njia kuu kwenda Kampala,hivyo tegemea kuwa kuna waganda wengi pia, tulitarajia iwe Ina mabasi mengi sana kuliko hata Mombasa ni Nairobi.
Magari mengi yanayoelekea western Kenya ni makangaas
 
Kundustan sasa mtueleze

Country
Defence Budget 2025/2026 (USD)​
Tanzania
2.08 billion
Sri Lanka 🇱🇰
~1.5 billion​
Kenya 🇰🇪
~1.1 billion​
Uganda 🇺🇬
~1.2 billion​
Georgia 🇬🇪
~0.49 billion​
Bulgaria 🇧🇬
~2.0 billion​
source?
 
Ikwapi hiyo port tulioiona? Halafu hapo sio port tu ni whole industrial level fish value chain
Kuja Ganjoni, Mombasa utaiona na ingine inanjengwa Shimoni in Kwale, County. Zote zikona processing plants, Kwa hivyo hakuna cha maana unatuambia hapa wewe primary school dropout. Homa Bay and Busia have better fish markets than Dar is a slum na bado ukona audacity ya kuongelea fishing.
 
Kuja Ganjoni, Mombasa utaiona na ingine inanjengwa Shimoni in Kwale, County. Zote zikona processing plants, Kwa hivyo hakuna cha maana unatuambia hapa wewe primary school dropout. Homa Bay and Busia have better fish markets than Dar is a slum na bado ukona audacity ya kuongelea fishing.
Hii ndio fish port unayoiongelea au mna nyingine? 😂😂😂
images.jpg
 
Naomba sasa tuanze kuchanganua Bajeti ya Kenya VS bajeti ya Tanzania.

1749811842305.png


Hii nimechukua kutoka Source:

1. Tutaanza na Agriculture and Food Secury Kenya wakati Tanzania tupo na Wizara ya Kilimo

Kenya: Ksh 44,114.1M = $341.57 million USD
Tanzania Tsh 1,242,975,075,000.00 = $710.84 million USD

Tanzania Source:
 
Back
Top Bottom