Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,975
- 27,975
Mbona wasije Kenya basi?Tunazo nyingi tu.
Biggest by assests kwasasa ni:
- CRDB
- NMB
- NBC
- TCB
Mbona wasije Kenya basi?Tunazo nyingi tu.
Biggest by assests kwasasa ni:
- CRDB
- NMB
- NBC
- TCB
Umeuliza kwanini wabunge wetu hawananunui ambulance, nikakuambia hio ni kazi ya county government. Enyewe wewe ni primary school dropout kama huyo mbunge wenu.🤣🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo uwezo wa king msukuma kama individual unalingana na county nzima ya kiambu🤣🤣🤣🤣🤣
Umesoma maelezo yangu hapo juu.Mbona wasije Kenya basi?
Ndio nakuliza Kwani Tanzania hakuna established bank which can come to Kenya as not new banks. We see Nigerian banks coming to Kenya every year, why not Tanzanian banks?Umesoma maelezo yangu hapo juu.
Kenya iliacha kutoa licence ya banks mpya miaka 10 iliyopita.
Elimu yako Ina mashaka sana.Umeuliza kwanini wabunge wetu hawananunui ambulance, nikakuambia hio ni kazi ya county government. Enyewe wewe ni primary school dropout.
Ni kama wanavyozuiga baadhi ya mashirika ya ndege pale wanapoona kutatokea ushindani ili kutengeneza monopoly .Umesoma maelezo yangu hapo juu.
Kenya iliacha kutoa licence ya banks mpya miaka 10 iliyopita.
Tunakwenda vizuri kwenye suala Zima la remittances 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DKMV9t0oLKO/?igsh=OXk5aWJ4ODZlcnJ3
Iwe ya maskini au Tajiri ni source ya dollarsRemmitance ni ya maskini tu
Kwa hiyo akili yake fupi naona huyo anayemuita primary school dropout ana akili kumzidi.Elimu yako Ina mashaka sana.
Kuna kitu kinaitwa msaada. Wajibu wa mbunge sio kununua ila yeye alipoona Kuna mahitaji na itachukua muda akanunua kwa pesa yake ili kutatua changamoto iliyokuwepo . Nani kasema jukumu la mbunge ni kununua ambulance.?
Sasa wewe ulivyo mjinga ukahoji mbona za mwaka 1990? Ulitaka anunua mpya kwa hela yake?
Ananunua kwa sababu serikali yake ya CCM imeshindwa kununua, lakini akifika bungeni kazi nikuimba CCM instead of lobbying wizara ya Afya inunulie constituents wake ambulance. 🤣 🤣 🤣 Alafu munadhani hizo ni pesa zake. Enyewe munaongzwa na mafala na nyinyi pia ni mafala.Elimu yako Ina mashaka sana.
Kuna kitu kinaitwa msaada. Wajibu wa mbunge sio kununua ila yeye alipoona Kuna mahitaji na itachukua muda akanunua kwa pesa yake ili kutatua changamoto iliyokuwepo . Nani kasema jukumu la mbunge ni kununua ambulance.?
Sasa wewe ulivyo mjinga ukahoji mbona za mwaka 1990? Ulitaka anunua mpya kwa hela yake?
Lakini slums sio kibera tu Kuna nyingine nyingi na nusu ya wakazi wa Nairobi wanaishi kibera mliobaki mnaishi kwenye slums nyingineThen you are just confirming here what we've been saying. Kwamba Dar ni jiji la umaskini coz zaidi ya nusu ya Dar nyumba na muonekano ni hivyo hivyo. Kibera unayotajataja Kila saa is only 2.5 square kilometers. Ka eneo kadogo sana yet the biggest slum in Nairobi. Sasa linganisha na hayo sehemu za masikini wa Tanzania as you've confirmed above that cover your entire cityscape
Ukimsikiliza Rostam Aziz wakati ule wa mjadala Kenya, utajua kabisa Kenya ni wahuni.Ni kama wanavyozuiga baadhi ya mashirika ya ndege pale wanapoona kutatokea ushindani ili kutengeneza monopoly .
Tunakwenda vizuri kwenye suala Zima la remittances 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DKMV9t0oLKO/?igsh=OXk5aWJ4ODZlcnJ3
Did the ban, not involve subsidiaries?Ndio nakuliza Kwani Tanzania hakuna established bank which can come to Kenya as not new banks. We see Nigerian banks coming to Kenya every year, why not Tanzanian banks?
Hueleweki.Did the ban, not involve subsidiaries?
Na sahii kamejikulisha mikorogo kabisa!!!This is one of the Tanzanian MPs who was insulting us Kenyans saying sisi ni washenzi! Huyu akiletwa huku Kenya anarudishwa PP2 Term two apate elimu kidogo View attachment 3348394