Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo uwezo wa king msukuma kama individual unalingana na county nzima ya kiambu🤣🤣🤣🤣🤣
Umeuliza kwanini wabunge wetu hawananunui ambulance, nikakuambia hio ni kazi ya county government. Enyewe wewe ni primary school dropout kama huyo mbunge wenu.
 
Umesoma maelezo yangu hapo juu.

Kenya iliacha kutoa licence ya banks mpya miaka 10 iliyopita.
Ndio nakuliza Kwani Tanzania hakuna established bank which can come to Kenya as not new banks. We see Nigerian banks coming to Kenya every year, why not Tanzanian banks?
 
Umeuliza kwanini wabunge wetu hawananunui ambulance, nikakuambia hio ni kazi ya county government. Enyewe wewe ni primary school dropout.
Elimu yako Ina mashaka sana.
Kuna kitu kinaitwa msaada. Wajibu wa mbunge sio kununua ila yeye alipoona Kuna mahitaji na itachukua muda akanunua kwa pesa yake ili kutatua changamoto iliyokuwepo . Nani kasema jukumu la mbunge ni kununua ambulance.?
Sasa wewe ulivyo mjinga ukahoji mbona za mwaka 1990? Ulitaka anunua mpya kwa hela yake?
 
Elimu yako Ina mashaka sana.
Kuna kitu kinaitwa msaada. Wajibu wa mbunge sio kununua ila yeye alipoona Kuna mahitaji na itachukua muda akanunua kwa pesa yake ili kutatua changamoto iliyokuwepo . Nani kasema jukumu la mbunge ni kununua ambulance.?
Sasa wewe ulivyo mjinga ukahoji mbona za mwaka 1990? Ulitaka anunua mpya kwa hela yake?
Kwa hiyo akili yake fupi naona huyo anayemuita primary school dropout ana akili kumzidi.
Facts.
 
Elimu yako Ina mashaka sana.
Kuna kitu kinaitwa msaada. Wajibu wa mbunge sio kununua ila yeye alipoona Kuna mahitaji na itachukua muda akanunua kwa pesa yake ili kutatua changamoto iliyokuwepo . Nani kasema jukumu la mbunge ni kununua ambulance.?
Sasa wewe ulivyo mjinga ukahoji mbona za mwaka 1990? Ulitaka anunua mpya kwa hela yake?
Ananunua kwa sababu serikali yake ya CCM imeshindwa kununua, lakini akifika bungeni kazi nikuimba CCM instead of lobbying wizara ya Afya inunulie constituents wake ambulance. 🤣 🤣 🤣 Alafu munadhani hizo ni pesa zake. Enyewe munaongzwa na mafala na nyinyi pia ni mafala.
 
Then you are just confirming here what we've been saying. Kwamba Dar ni jiji la umaskini coz zaidi ya nusu ya Dar nyumba na muonekano ni hivyo hivyo. Kibera unayotajataja Kila saa is only 2.5 square kilometers. Ka eneo kadogo sana yet the biggest slum in Nairobi. Sasa linganisha na hayo sehemu za masikini wa Tanzania as you've confirmed above that cover your entire cityscape
Lakini slums sio kibera tu Kuna nyingine nyingi na nusu ya wakazi wa Nairobi wanaishi kibera mliobaki mnaishi kwenye slums nyingine
 
Back
Top Bottom