Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Hii mbona ipo wazi unalia.? 🤣🤣🤣. Mana kuna post nyingi nimeku mention huzigusi. 🤣🤣🤣Kondoo iko desperate inatafuta attention🤣🤣🤣🤣.,linadhani Kenya ni nchi ya city moja na CBD moja kama Tanzania 🤣🤣🤣, jifananisheni wenyewe kwa wenyewe, jaribu Arusha vs Dodoma ama Mwanza hivi, ukishindwa jaribu na Iringa, kwa Kenya hamtoshi kabisaa, pole, Kenya sio size yenu, nyambaff🤣🤣🤣 🤣🤣.,