Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jana nikitravel towards M.mara...
hapo mbele ya Narok town niliahuhudia wakenya wengi wakielekea nyanza region.
kusema ukweli kuna wakenya wengi wenye mihela....nilihesabu karibia hammer 40,Porsch 10,Chrysler 10, mercedes,audi,na BMW more than 500,na matoyota kama lexus na harrior mingi tu kwa kimpindi cha 3 hrs pekee...pesa naona ni mingi.
 
Jana nikitravel towards M.mara...
hapo mbele ya Narok town niliahuhudia wakenya wengi wakielekea nyanza region.
kusema ukweli kuna wakenya wengi wenye mihela....nilihesabu karibia hammer 40,Porsch 10,Chrysler 10, mercedes,audi,na BMW more than 500,na matoyota kama lexus na harrior mingi tu kwa kimpindi cha 3 hrs pekee...pesa naona ni mingi.
Picha
 
Jana nikitravel towards M.mara...
hapo mbele ya Narok town niliahuhudia wakenya wengi wakielekea nyanza region.
kusema ukweli kuna wakenya wengi wenye mihela....nilihesabu karibia hammer 40,Porsch 10,Chrysler 10, mercedes,audi,na BMW more than 500,na matoyota kama lexus na harrior mingi tu kwa kimpindi cha 3 hrs pekee...pesa naona ni mingi.
Kwahyo ulinunua na daftari la kutunzia kumbukumbu wakat unafanya hesabu ya darasa la kwanza?
check this out ,this is northen Tz watu huenda kula sikukuu kutoka sehemu mbali mbali unaweza ukahesabu?
ba91889631e518e98203150126afa86e.jpg
 
Kwahyo ulinunua na daftari la kutunzia kumbukumbu wakat unafanya hesabu ya darasa la kwanza?
check this out ,this is northen Tz watu huenda kula sikukuu kutoka sehemu mbali mbali unaweza ukahesabu?
ba91889631e518e98203150126afa86e.jpg
d52707e8042b5b1ecadf710420effe9c.jpg
4799405efb18c9e5a0d608f94e75b50f.jpg
 
Kwahyo ulinunua na daftari la kutunzia kumbukumbu wakat unafanya hesabu ya darasa la kwanza?
check this out ,this is northen Tz watu huenda kula sikukuu kutoka sehemu mbali mbali unaweza ukahesabu?
ba91889631e518e98203150126afa86e.jpg
Labda ata zinatoka nairobi...juu wachagaa mmejazana nai sanaa...kwanza donholm
 
Jana nikitravel towards M.mara...
hapo mbele ya Narok town niliahuhudia wakenya wengi wakielekea nyanza region.
kusema ukweli kuna wakenya wengi wenye mihela....nilihesabu karibia hammer 40,Porsch 10,Chrysler 10, mercedes,audi,na BMW more than 500,na matoyota kama lexus na harrior mingi tu kwa kimpindi cha 3 hrs pekee...pesa naona ni mingi.
dalili ya ushamba dalili ya uongo
 
Ila kwa kweli nawapendaga sana wachaga, nimekaa mda kdg apo loitoktok kenya na imepakana na rombo apo...Jamaa wazuri sana mnapiga kiti moto na serengeti za baridii alafu mnanogesha story na mabwashe[emoji122] [emoji109] [emoji3]
 
Jana nikitravel towards M.mara...
hapo mbele ya Narok town niliahuhudia wakenya wengi wakielekea nyanza region.
kusema ukweli kuna wakenya wengi wenye mihela....nilihesabu karibia hammer 40,Porsch 10,Chrysler 10, mercedes,audi,na BMW more than 500,na matoyota kama lexus na harrior mingi tu kwa kimpindi cha 3 hrs pekee...pesa naona ni mingi.

On the Northern corridor of Nairobi-Nakuru-North Rift-Western same with traffic snarl-up since Dec 23rd

Nairobians heading upcountry stuck for hours in highway traffic - PHOTOS - Nairobi News


dnnakururoads2412ll.jpg
upload_2017-12-25_12-0-7.jpeg
 
Ila kwa kweli nawapendaga sana wachaga, nimekaa mda kdg apo loitoktok kenya na imepakana na rombo apo...Jamaa wazuri sana mnapiga kiti moto na serengeti za baridii alafu mnanogesha story na mabwashe[emoji122] [emoji109] [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawasawa ,
Merry Christmas pal
 
Back
Top Bottom