BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,049
- 2,542
Jana nikitravel towards M.mara...
hapo mbele ya Narok town niliahuhudia wakenya wengi wakielekea nyanza region.
kusema ukweli kuna wakenya wengi wenye mihela....nilihesabu karibia hammer 40,Porsch 10,Chrysler 10, mercedes,audi,na BMW more than 500,na matoyota kama lexus na harrior mingi tu kwa kimpindi cha 3 hrs pekee...pesa naona ni mingi.
hapo mbele ya Narok town niliahuhudia wakenya wengi wakielekea nyanza region.
kusema ukweli kuna wakenya wengi wenye mihela....nilihesabu karibia hammer 40,Porsch 10,Chrysler 10, mercedes,audi,na BMW more than 500,na matoyota kama lexus na harrior mingi tu kwa kimpindi cha 3 hrs pekee...pesa naona ni mingi.