ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kumbe ukweli munao ila ni ubishi tu😂😂Hata Kama mkapa ni mali ya mchina usifosi tufanane 😂
kumbe ukweli munao ila ni ubishi tu😂😂Hata Kama mkapa ni mali ya mchina usifosi tufanane 😂
Kwa hivo hujui. Huna habari hata hio eneo inaitwa aje- kazi tu ni ku mark na red ukisema ni slums lakini Dar hakuna slums 😂ww unaeza nidanganya nini labda kwa mfano?😂😂
ukitumwa modern city unaeza peleka mombasa?
Mozzatbet cup siku hizi ni ligi yetu? Kubalini mmeshindwa bwana.siumeona ulivo mpumbavu unachukua FA cup vs ligi yenu ya kenya kwann usitafute NBC premier league vs ligi yenu 😂😂😂
Talanta ni mali ya serikali, ukitaka PPP nenda Yemen and look for one there.sisi tunajua talanta ni PPP na expressway ni PPP zote ni mali ya mchina baby😂😂😂
Hata Talanta pia ulisema hivo, saa hii bumebaki ukiimba PPP yenye haiko.asante kwa render 😂😂😂😂
kaangalie NBC premier league alaf mujifunze kutoka hapo 😂😂😂Mozzatbet cup siku hizi ni ligi yetu? Kubalini mmeshindwa bwana.
aliesaini mkatabata anakwambia ni PPP ww mbuzi kutoka kibera unasema sio PPP😂Talanta ni mali ya serikali, ukitaka PPP nenda Yemen and look for one there.
nilisema hamuna uwezo wakujenga kwa pesa zenu unless mchina ajenge iwe yake 😂Hata Talanta pia ulisema hivo, saa hii bumebaki ukiimba PPP yenye haiko.