Hahaha hataki kuambiwa nairobi ndogo hahahahhahaUsinibore na kelele, we ndo unarudia picha mara kumi na tumenyamaza tu
DAR ugly unplanned city.Hahaha hataki kuambiwa nairobi ndogo hahahahhaha
Dar IPI sasa ya 90s au ya 2017 maana kuna dar mbili hahhahhahhhaahahahaDAR ugly unplanned city.
yani hujioni vile umerudia tpa,pspf na rita mpaka ikakinai but unaona wenzako.....lolAhahahaa jamaa anazirudia akizirudia hahahahah acha utoto baba nairobi ni ndogo sana tena sana kwa dar hahhhahahahhahaha
Kwanza hua sitembei na miguu I have my own car ndio maana nikamwambia mwenzio athletes na barabara kwanzia lungalunga mpaka mombasa mjini sio analeta nzuri hahahhahaha
Mmm, is this bitterness I am reading? Small or not, Nairobi is clearly more modern than Dar.Ahahahaa jamaa anazirudia rudia hahahahah acha utoto baba nairobi ni ndogo sana kwa dar hahhhahahahhah
Zimerudiwa au kwenye hio pic kuna majengo zaidi ya 20 mengine huyaoni au hhehehheheheyani hujioni vile umerudia tpa,pspf na rita mpaka ikakinai but unaona wenzako.....lol
Ushaambiwa modern buildings ziko dar na zinajengwa huku kila kukicha kwa nairobi ni Barbara lakin pia msijisahau maana ngosha anajenga barabara kwa speed zote hapumziki na ametenga pesa nyingi sana kwa ajili ya infrastructure dar na mikoa yote,so be ready alsoMmm, is this bitterness I am reading? Small or not, Nairobi is clearly more modern than Dar.
Hehhhehhe jamaa akizidiwa anakimbia kwengine hahahahhahahI have No time with you anymore.You are a novice. See, A fool is better off when he is a fool only but when it comes to a lying fool that is something else.
View attachment 486599
Zipo nyingi tu wataletewa hehehheHakuna mwenye picha za maeneo ya upanga
Upande wa muhimbili kule
vijisababu Vingi....nakumbuka uko nyuma ulijibiwa ivi ulivyojibu ukapayuka ni kwa sababu nai ni ndogo.Zimerudiwa au kwenye hio pic kuna majengo zaidi ya 20 mengine huyaoni au hhehehhehehe
nimeshakwambia hesabu hua haibadiliki nairobi ni ndogo na itabaki kua ndogo sana kwa dar 😀😀😀😀😀😀😀vijisababu Vingi....nakumbuka uko nyuma ulijibiwa ivi ulivyojibu ukapayuka ni kwa sababu nai ni ndogo.
kabisa hahahah nimeshamwambia hata deepey maana yeye ndo analia sana na nyako maber😀😀😀😀😀😀😀Kuanzia leo tambueni kuwa Kibera na Korogocho tumezihamishia Dar na sio Nairobi tena. As we speak ..tunafanya mazungumzo na Wikipedia along with google wabadili articles zote za hizo slums kuzihamishia Dar. 😉😉😀