hahaha nyako maber aliona namtania ananiambia mpaka 2040 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀SGR imeanza ssa. Naona kelele za wakenya zitaanza kufa
View attachment 486698 View attachment 486699
phase by phase hahahahah kwani yenu imefika kisumu 😀😀😀😀😀😀😀😀😀 na sio morogoro tu kwanza chain yake inaanza kusambazwa dar nzima alaf to morogoro phase ya kwanza hioTena ni hadi morogoro....Si kigali?
Mambo yameivaSGR imeanza ssa. Naona kelele za wakenya zitaanza kufa
View attachment 486698 View attachment 486699

Munamaliza SGR zimepitwa na wakati 30 yrs sisi tunaweka kitu ambayo ni history kwa east and central africa ndio kawaida yetu hahhahahhaajamaa vituko....the difference btwn Kenya na tz....Kenya wakiwa wanamalizia kitu ndio tz hua wanaanza alafu jamaa wanakuja payuka tunasonga zaidi ya Kenya....kuna mtu amegundua hili?
NO, KEJELI ZA WAKENYA NI KWAMBA WANAONGEA NA KUIPONDA TANZANIA UTAFIKIRI MAENDELEPO YAO WAMEFANYA MIAKA SABINI ILIYOPITA, YAANI UTAFIKIRI NI GAP LA MIAKA KIBAO KUMBE NI HATUA CHACHE , SISI TUNASISITIZA TANZANIA YA SASA SIO ILE WANAVYOTUAMBIA KILA SIKU YA MWAKA 1970. VITU VINGI VYAO EITHER VIPO HATUA YA MWISHO AU KATIKATI AU NDIO KWANZA WAMEMALIZA, WALICHONACHO NA SISI TUNAFANYA, SO DHARAU ZA AJABU AJABU ZIISHE. TENA HAWATAKIWI HATA KUJIFANANISHA NA SISI WANGEJITAHIDI KUJIFANANISHA NA SINGAPORE. LENGO HAPA NI KUSISITIZA KUWA TANZANIA IMEBADILIKA NA WAACHE DHARAU. BADO TUNATEMBELA WOTE KICHWA HAPA.jamaa vituko....the difference btwn Kenya na tz....Kenya wakiwa wanamalizia kitu ndio tz hua wanaanza alafu jamaa wanakuja payuka tunasonga zaidi ya Kenya....kuna mtu amegundua hili?
jamaa vituko....the difference btwn Kenya na tz....Kenya wakiwa wanamalizia kitu ndio tz hua wanaanza alafu jamaa wanakuja payuka tunasonga zaidi ya Kenya....kuna mtu amegundua hili?
another difference btwn Kenya na tz....Kenya wakionesha the actual thing tz wanaonesha picha.motochini na rende yako yakina geza hamchoki kwani kufukuza upepo?Mmemaliza lipi!!
Mnakimbia bila breki!!?
mnajenga njia nzuri mnatumia Mitungi eti Treni
sisi tupo kimtindo mtindo
kawia ufike
umeona picha ya treni hapo juu
linganisha na Upumbavu upumbavu wenu !!
huyu hua anajifanya kichwa ngumu lakini ataelewa tu😀😀😀😀😀😀😀😀😀another difference btwn Kenya na tz....Kenya wakionesha the actual thing tz wanaonesha picha.Geza hamchoki kwani kufukuza upepo?
relax...sio mbongo mimi.alafu ujue ni watz wanajicompare na kenya sio the other way around.mfano,cheki hii thread ilianzishwa na nani,tulipojenga sgr yetu tusingeweza compare na tz cz hamna but vile mnajenga yenu ndio mnajicompare na sisiNO, KEJELI ZA WAKENYA NI KWAMBA WANAONGEA NA KUIPONDA TANZANIA UTAFIKIRI MAENDELEPO YAO WAMEFANYA MIAKA SABINI ILIYOPITA, YAANI UTAFIKIRI NI GAP LA MIAKA KIBAO KUMBE NI HATUA CHACHE , SISI TUNASISITIZA TANZANIA YA SASA SIO ILE WANAVYOTUAMBIA KILA SIKU YA MWAKA 1970. VITU VINGI VYAO EITHER VIPO HATUA YA MWISHO AU KATIKATI AU NDIO KWANZA WAMEMALIZA, WALICHONACHO NA SISI TUNAFANYA, SO DHARAU ZA AJABU AJABU ZIISHE. TENA HAWATAKIWI HATA KUJIFANANISHA NA SISI WANGEJITAHIDI KUJIFANANISHA NA SINGAPORE. LENGO HAPA NI KUSISITIZA KUWA TANZANIA IMEBADILIKA NA WAACHE DHARAU. BADO TUNATEMBELA WOTE KICHWA HAPA.