concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,312
- 14,350
faida ya sgr haio katika report tajwa kwa sababu sio mwaka wake wa kureport. mwaka wake itakuwa 2024/2025., ukaguzi wake huwa unaanza baada ya mwaka wa fedha kuisha , ambapo mwaka wake wa fedha bado haujaisha , utaishia 30/6/2025Kawaingiza mkenge mpaka wanusa gundi wakadhani ni sgr, walivyo hawana akili wameshindwa hata kuelewa "......iliyosababisha kufungwa kwa njia kwa miezi minne"
Kwa kifupi faida inayotoka sgr ndiyo inaendesha shirika kwa sasa.