Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kawaingiza mkenge mpaka wanusa gundi wakadhani ni sgr, walivyo hawana akili wameshindwa hata kuelewa "......iliyosababisha kufungwa kwa njia kwa miezi minne"

Kwa kifupi faida inayotoka sgr ndiyo inaendesha shirika kwa sasa.
faida ya sgr haio katika report tajwa kwa sababu sio mwaka wake wa kureport. mwaka wake itakuwa 2024/2025., ukaguzi wake huwa unaanza baada ya mwaka wa fedha kuisha , ambapo mwaka wake wa fedha bado haujaisha , utaishia 30/6/2025
 
Kawaingiza mkenge mpaka wanusa gundi wakadhani ni sgr, walivyo hawana akili wameshindwa hata kuelewa "......iliyosababisha kufungwa kwa njia kwa miezi minne"

Kwa kifupi faida inayotoka sgr ndiyo inaendesha shirika kwa sasa.
Imagine hata kusoma hii kipengele na kujiongeza wameshindwa “iliyosababishwa kufungwa kwa njia kwa miezi minne.” SGR gani imefungwa miezi minne! 😂😂😂
 
Hata kusoma siku hizi hujui?

KQ = Profit of $39.9M

View: https://x.com/KenyaAirways/status/1904777346038538736

Anytime Cancellation Ltd (ATCL) = Loss of $35M.


View: https://x.com/swahilitimes/status/1905194315350933899

1743073593117.png

bado ka loss aliyopata ATCL haiwezi lingana na los KQ kwa mwaka uliopita , kwa point kuwa hasara inaendelea kupungua .
 
tanzania financial year inaanzia tarehe 1/7/ year mpaka 30/6/ ya mwaka unaofuata. sgr oparation imeanza july ya 2024 kwa hiyo haiwezi kuwa katika report ya 2023/2024 kwa sababu mwaka wake wa fedha au report yake itakuwa kwenye report ya 2024/2025

View attachment 3284761
CAG “Ni muhimu kuzingatia kuwa taarifa hii inahusu kipindi kinachoishia June 30,2024 kabla ya kuanza kutumika kwa treni za SGR kwahiyo mapato ya SGR hapa hayapo

Kondoo za kiambu zitakuwa very disappointed. 😂😂😂
 
Kenyan SGR on the other hand continues to make more money.


View: https://x.com/XHNews/status/1905206801760460891

1743074191233.png

kwa hesabu za haraka tu ni kuwa kwa mwezi sgr kenya inaingiza usd 2,583,333 kwa mwezi ikiwa ndo mapato yaliongezeka kwa aslimia 41.
mpaka kufikia mwezi february sgr tanzania ilikuwa imeshafikisha bil 56 sawa na usd 21.2mil ikiwa kwa muda miezi nane tu sawa na usd 2,651,515 kwa mwezi kukiwa na utofauti wa 68,181 ka kila mwezi ukizidisha kwa miezi 12 ni sawa na usd 818,000. hapo ndo ina miezi nane toka ianze kufanya kazi
 
View attachment 3284768
kwa hesabu za haraka tu ni kuwa kwa mwezi sgr kenya inaingiza usd 2,583,333 kwa mwezi ikiwa ndo mapato yaliongezeka kwa aslimia 41.
mpaka kufikia mwezi february sgr tanzania ilikuwa imeshafikisha bil 56 sawa na usd 21.2mil ikiwa kwa muda miezi nane tu sawa na usd 2,651,515 kwa mwezi kukiwa na utofauti wa 68,181 ka kila mwezi ukizidisha kwa miezi 12 ni sawa na usd 818,000. hapo ndo ina miezi nane toka ianze kufanya kazi
Kwa akili zako mbaya unakaribu kulinganisha mamapto ya Dar _Morogoro and Dar -Dodoma na a single route ya Nairobi - Mombasa pekee.

Alafu mambo ya ATCL umeachana nayo?😂😂😂
 
Kwa akili zako mbaya unakaribu kulinganisha mamapto ya Dar _Morogoro and Dar -Dodoma na a single route ya Nairobi - Mombasa pekee.

Alafu mambo ya ATCL umeachana nayo?😂😂😂
kumbe kuna njia mbili dar - dodoma na dar -morogoro.?
kumbe mombasa - nairobi na mombasa- athi river ni routes tofauti?
kuhusu KQ leta profit iliyowahi kumake toka kuanzishwa kwake
 
kumbe kuna njia mbili dar - dodoma na dar -morogoro.?
kumbe mombasa - nairobi na mombasa- athi river ni routes tofauti?
kuhusu KQ leta profit iliyowahi kumake toka kuanzishwa kwake
Nobody goes to Athi River wewe nguruwe. From Athi River SGR station to Nairobi SGR station is just 30 bob by Matatu, sasa mbona mtu apande SGR?

Your SGR has Dar- Morogoro Route with trains set aside just for that route and Dar-Dodoma route with also trains set aside that route.
 
Back
Top Bottom