The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Hawa wakenya mtakuja kuwauwa humu ndani aisee, mana hamuwapi pumzi hata kidogo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa wakenya mtakuja kuwauwa humu ndani aisee, mana hamuwapi pumzi hata kidogo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii haina jinsi na hata kama wa kulaumiwa ni Nyerere as hii project haikuwa na any positive economic impact kwa nchi zote mbili zaidi ya kuitoa Zambia kutoka kwenye bandari ya Makaburu ili tuwe partner jkwenye ile project ya ukombozi.Tupe maoni yako kaka, unaionaje hii?
Ndio mkuuSabuni ya mche?
Achana na hayo mambo ya kitoto hata Burundi anafanya, maumivu mengine haya hapa 👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣And I said in Tanganyikans' view no city can relate. This is just Westlands alone. Show me any city with such a view outside the CBD ndio utuambie hiyo keleleView attachment 3278037
asante kwa render kutoka kwa kasongo😂
Hiyo ni fact na sio opinion, kama wanabisha waje na evidence.Miradi yenu in general ni miradi ya few million dollars, hasa hizi apartments za less than $10M. Huwezi fananisha na miradi yetu mingi ya billions of dollars.
Mpaka sasa mradi wenu mkubwa under construction ni Talanta Stadium ambao ni not more than $250M.
Timu gn iyoooKuna litimu limesha popolewa na vitimu vidogo vidogo huko tayari😂😂😂
Teargass mwaiofhawaii Nicxie mwathadan Reborn Ktb nairobae
Tuzione hizo longer bridges au ndo kama hizi
View: https://youtu.be/maqE3Lka9lU?si=xjrmLavR6YPg-N41
Usisahau pia kuwa Mombasa ndo inaongoza kwa kuwa na nyumban A tope katikati ya mji
Karibu sana..
Mukuru Kwa Jenga, mambo ni laivu.
View: https://web.facebook.com/ardhihouse/posts/pfbid036vmzcLtGQ8r2KkMdmiJ6mVhUEc9s1yamM6VV3VyZXq7SxCG7ZDeMTTNePGt5a42Vl
That area is always swampy and bridge had to cover the entire area. At high tides those dry places are usually covered with water.Unaweza kuelezea kwa nini hilo daraja limerefushwa kwenye huo mfereji?
Wamejitahidi wametoka na draw. Benny Mccathy ni kocha anayujitambua kuliko wakina Mgunda na Hemed Morocco.Timu gn iyooo
The return of Anaconda! 😂 😂Bye bye everyone 👋 👋 👋 👋
Watchman Nicxie jamaa karudi tena bhn, ila sasa kaja kwa style nyingine 👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3278230View attachment 3278222
View attachment 3278231
My take: Makenya yameumia mpaka yameshindwa japo kukoment 🖕🖕🖕🖕🖕🖕
We have so many of these projects we can barely keep track.asante kwa kubadilisha gear angani 😂😂
ndio maana munaburuzwa kwa uwongo kila siku, inamaana kenya so far hamuna mradi wa maana zaidi ya talanta ambayo ni PPP ya mchina ???? 😂😂😂
Acha uongo!We have so many of these projects we can bare keep track.
Na zote ni kubwa kuliko your biggest.
labda ziko kwenye ndoto 😂😂😂We have so many of these projects we can bare keep track.
Na zote ni kubwa kuliko your biggest.