Tunasema tunaonekana hatuwatakii mema wachonganishi.Hivo ndivyo tulivorogwa Africa, but agan, the stadium management has to raise money for maintenance.
Wazo zuri sana.We just need to adopt modern protective systems and they are not that expensive it’s just our Lack of will . I have been to a. Music concert in a NFL stadium and i noticed the grassy area was covered in special Mats protecting the grass from feet thumping ( I might have a photo somewhere, will check)… Here in the US , you can attend an NBA game on Saturday and a hockey ( ice) game on Sunday in the same arena . Saturday is wooden floor while Sunday becomes nothing but ice .. ( it’s still a mystery to me how they do it that quick)..I believe in today’s technology, any African country can achieve that . It’s not out of reach .
Mafuta yanaweza punguzwa na CNG hiyo as long as waitilie mkazo wasiweke tamaa waichukulie kama solution ya kupunguza utegemezi wa mafuta we off to go.Kwa upande wangu naona kama tunaenda vizuri tu , hakuna cha kuogopa. A "weak" shilling gives us competitive advantage on our exports. Jambo kama hilo ndio limewabeba sana wachina na most of all Asian Tigers. Muhimu ni Ku control Inflation kisawasawa!! Dollar ibanwe ndani kisawa sawa, iwe kupata dola ni kama kumuona malaika 🤣🤣
Na pia tujitahidi kuwa na energy self sufficiency.....maana mafuta nayo ndo jinamizi aisee...... labda mganda akianza kilichakata yake. All in all naona Tshs haina shida sana, ni mambo madogo madogo tu!!
Kwani uwanja wa nani? Wizara ya Michezo sio? Huwezi kutoa siasa! Zile Kelele za simba na yanga kujenga viwanja vyao zimeishia wapi?Wazo zuri sana.
Shida mzee unakuta hiyo technology inawekewa 10%, plus inachanganywa na siasa yaani hatari.
Plus inahitaji pesa kila changes hao wanaweza kwa sababu kila event wanayochange inaingiza pesa ndefu.
Sasa sisi huku Africa gwaride Bureee, kampeni Bureee, Matamasha Bureee, Mikesha Bureeee.
Na Vya bure tunavyopenda nyomi si la kitota linazidi hadi.handling capacity ya uwanja.
Alafu baada ya hapo unasubiri fungu kutoka Serikalini.
Mkapa haikupaswa kua hivyo kwa sababu Simba na yanga wanaacha 15% ya mapato Simba Day, Derby, Yanga Day. Ila kesho upo vile vile
Cheki hiyo bei ya Kuutumia Mkapa, yaani unazuia mkandarasi wa 30billion ili mtu aliyekodi kwa 20m autumie kwanza.
Benjamin Mkapa and Uhuru Stadium Services |MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE, ARTS AND SPORTS
some page description herewww.michezo.go.tz
View attachment 3277047
I think kinachohitajika zaidi ni kuwatoa hao wanasiasa kwenye mambo muhimu kama hayo waachie wataalamu na wanaojua wanachokifanywa.
Wafanyie kila kitu maeneo yao.
Kama ni.matamasha wajenge indoor arena, public square kwa magwaride.
Yaani Africa kila event tunawaza viwanjani tu.
Ruto kajenga zaidi ya nyumba 122,000!Wazee wa statistics. 🤣🤣 wako vizuri sana.
🤣🤣🤣 mavi ya kuku. Labda kama kajenga hizo nyumba ndotoni.Ruto kajenga zaidi ya nyumba 122,000!
Nakuelewa mzee. Siasa nazoongelea ni hizi kivyetu vyetu zinazowekwa mbele kuliko hata utaalamu.Kwani uwanja wa nani? Wizara ya Michezo sio? Huwezi kutoa siasa! Zile Kelele za simba na yanga kujenga viwanja vyao zimeishia wapi?
ni aibu timu za Simba na Yanga kutokuwa na uwanja wa mazoezi! Ni ujinga wanachofanya! Wacheze soka!Nakuelewa mzee. Siasa nazoongelea ni hizi kivyetu vyetu zinazowekwa mbele kuliko hata utaalamu.
Siasa haikosekani kila sehemu ila zinapozidi hadi zisipohitajika ndio inakua shida.
Inamake sense kukodisha 20m kumsubirisha mkandarasi ambaye baadae anaweza kuletea bill nyingine ya 100m+ kisa kulikua na delays muda wa kukamilisha so kuna malipo ya shughuli kuendelea?
Kama wewe unavyoona siasa zilivyo TRC ndivyo tunaona popote. Ili kitu kiwe na manufaa kinatakiwa sababu za manafaa na kinachochochea manufaa kizidi zaidi.
Ikiwa siasa ambazo zinaonyesha hazina manafaa zikizidi sehemu zinapewaje kipaumbele?
Simba inao uwanja wa mazoezini aibu timu za Simba na Yanga kutokuwa na uwanja wa mazoezi! Ni ujinga wanachofanya! Wacheze soka!
Alafu mitanganyika zinauliza hapa Kila siku eti tuwaoneshe miradi ya maendeleo Kenya wakati miradi za affordable housing across Kenya peke yake are more than double their so-called development projectsShauri Moyo Affordable housing, Kamukunji constituency .View attachment 3276563View attachment 3276564View attachment 3276565View attachment 3276566View attachment 3276567
So kinondoni ni hiyo building moja you've shown in the last four frames? 😂😂