Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,683
- 107,124
Wacha upumbavu hivi unafikiria ku-update ramani ya nchi nzima na geo coordinates na kuweka all details ni rahisi tena baada ya miaka 46?
Mbona mwamposa ana Tanganyika Packers na anabeba watu kuliko mkapa yenyeweTatiza la Mkapa kuwa na matamasha ya mara kwa mara ni kutokana na kuwa hatuna indoor Arena kubwa ya kutosha. Hata matamasha ambayo yanatakiwa kufanyika kwenye indoor arena yanafanyika Mkapa. Mfano:
1. Maombi na Mikesha ya Injili
2. Mashindano ya Quran
nk.
Huwezi kuwazuia wasifanye eti kwamba wewe upo kwenye ukarabati. Wao wanahaki ya kufanya hivyo. Na ukitaka kuwazuia utawapeleka wapi?
Solution ni ile indoor arena ijengwe kwa haraka sana. Nchi imeshakua sasa.
rais wa awamu ya tano aloishangaza africa na dunia huku kila nchi ikitamani awe rais wao, tukio la corona lakusema hakuna lockdown wala quarantine lililoishitua dunia mpaka keshoMagufuli Day.
View attachment 3274460
View attachment 3274461
From here
View attachment 3274478
Mpaka kununua umeme Ethiopia.
May he continue to rest in peace.
Hawa tulionao waangalie basi na solution zao za utelezi wa ganda la ndizi kwenye inshu ya kitaifa.
hio ramani ya zamani inshida gani so far?Wacha upumbavu hivi unafikiria ku-update ramani ya nchi nzima na geo coordinates na kuweka all details ni rahisi tena baada ya miaka 46?
Hii hapa sera ya Ardhi ya Tanzania toleo la 2023 iliyozinduliwa jana.
Wale walio milki ardhi kiholela na raia wa kigeni, jiandaeni kusanda Je, sera ya ardhi ya kenya inasemaje?
Mambo yamebadilika sana ndio maana migogoro ya ardhi haiishi! The whole of Tanzania needs to be surveyed!hio ramani ya zamani inshida gani so far?
una update kitu gani kigeni hapo so far?
hvi nyinyi munafkiri watanzania ni wajinga kiasi hicho??
163b wakat kuna miradi imekuwama hata hujui shida ni nn???
Kwani pitch ilitumika? Ikumbukwe wanalipa kukodisha uwanja!Upuuzi upuuzi sana. Why wasiende maeneo ya hadhara kazi kuharibu uwanja wa Mkapa ulio kwenye matengenezo.
Hii akili Gani?
Unataka mashindano ya Quran duniani yakafanyike Tanganyika Packers?Mbona mwamposa ana Tanganyika Packers na anabeba watu kuliko mkapa yenyewe
Duh! watu kama nyie, Wahafidhina ndio mnafanya nchi isiendelee. Umeshawahi kusoma topic ya map reading?hio ramani ya zamani inshida gani so far?
una update kitu gani kigeni hapo so far?
hvi nyinyi munafkiri watanzania ni wajinga kiasi hicho??
163b wakat kuna miradi imekuwama hata hujui shida ni nn???
I like this. Tunaishi na ramani ya wakoloni. Tunatakiwa kubadilisha kila kitu. Kila kipande cha ardhi ya Tanzania lazima kiwe recorded. Vilima na Milima lazima iwe kwenye ramani. Mabonde yote lazima yawe recorded. Mipaka ya vijiji, mitaa na vitongoji lazima viwe recorded.Mambo yamebadilika sana ndio maana migogoro ya ardhi haiishi! The whole of Tanzania needs to be surveyed!
Just mzee nasema inafanya kufanya matengenezo iwe ngumu. Kwa mfano kuna kuondoa viti, hapo Mkandarasi anashidwa kuondoa kwa sababu kila muda event, hata ukiangalia picha kuna Sehemu wameng'oa viti sehemu nyingine wakaacha.Kwani pitch ilitumika? Ikumbukwe wanalipa kukodisha uwanja!
😂😂😂😂😂😂 163b alooo ni hatari na nusuMambo yamebadilika sana ndio maana migogoro ya ardhi haiishi! The whole of Tanzania needs to be surveyed!
hahahahhaha nchi isiendelee kwan sisi ndio tumezuia nchi isiendelee wakat madudu yamejaa kila kona, leo unasema watanzania 100% hawana njaa hehehehe🙌🏻🙌🏻Duh! watu kama nyie, Wahafidhina ndio mnafanya nchi isiendelee. Umeshawahi kusoma topic ya map reading?