Umeonaeee baada ya kuondoka ilitakiwa wao wamalize hizo chuki zilizopandikishwa kwenye jamii Yao. Sasa wanalaumu Nini.Isitoshe Wabelgiji wameondoka Rwanda tangu 1960s miaka 60 baadae bado wanawalaumu!
Chuki zilizopandikishwa❌ chuki zilizopandikizwa✅Umeonaeee baada ya kuondoka ilitakiwa wao wamalize hizo chuki zilizopandikishwa kwenye jamii Yao. Sasa wanalaumu Nini.
Yao watutsi ndo walipewa madaraka ya kuwa Bora dhidi ya wengine walikuwa wanaona Raha tuu
You are only selecting comments which flexes your ego. Mbona hujaweka hii? Alafu Ebu tuonyeshe hiyo larmboghini mko nayo hapo Vumbistan.
View: https://x.com/Urunzii/status/1901360425544921225
View: https://www.instagram.com/reel/DGDoB62M7VH/?igsh=ODVxbm1uZDZjc2ww
Inaonekana hata quarter glass huijui