Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio ni assembly ipo kibaha pale , tunaingiza parts kutoka faw china , pale wanaunganisha tuu na ni truck sio basi.
Sasa waambie na wao wakuletee trucks wanazo assemble au wakuletee kiwanda kinachojenga gari Kenya, usivamie mjadala mjomba pasipo kuelewa, waambie wakuletee kiwanda cha kujenga gari Kenya nimekaa paleee 👉 👉 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Are those buses or trucks? Mwenzako ameitisha assembly plant ya buses, not trucks
Wakenya hamna akili, kitu gn hujaelewa hapo? Yeye kataka basi mm nimeweka trucks, kama tunaweza ku assemble truck tunashindwaje bus, haya na wewe weka truck assembly plant ya Kenya, mana sisi bus assembly plant tunayo na inatengeneza bus quality kuliko madebe yenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakenya hamna akili, kitu gn hujaelewa hapo? Yeye kataka basi mm nimeweka trucks, kama tunaweza ku assemble truck tunashindwaje bus, haya na wewe weka truck assembly plant ya Kenya, mana sisi bus assembly plant tunayo na inatengeneza bus quality kuliko madebe yenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha kulazimisha mambo hapa wewe watchman. Jamaa ameitisha assembly plant ya mabasi wewe unatuletea ya trucks kisha unatoa povu. Kama ipo na unajua ipo si ulete hapa tuone! Mbona kelele?
 
Wacha kulazimisha mambo hapa wewe watchman. Jamaa ameitisha assembly plant ya mabasi wewe unatuletea ya trucks kisha unatoa povu. Kama ipo na unajua ipo si ulete hapa tuone! Mbona kelele?
Haya na wewe nioneshe assembly plant ya truck kenya 🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250316-082549~2.png
Screenshot_20250316-082617~2.png
Screenshot_20250316-082647~2.png
Screenshot_20250316-082647~2.png
Screenshot_20250316-082712~2.png
 
Wewe ndiyo huelewi, umetaka bus assembled in Tanzania umepewa hutaki unataka namba E, kama hawaja update unataka nikupe kutoka wapi, yani huitaki namba D ambazo ni gari bado mpya unataka niendelee ku debate na wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe unavamia mazungumzo yangu na geza ulole.

Tanzania tulikuwa tunatumia dar coach bus body builder, na mengine kutoka Kenya.

Hio ilikuwa hasa nyuma ya 2010 ambapo wachina ilikuwa bado sana.

Kwa sasa mabasi mengi ni from china kaka wewe nenda mbezi kule kaangalie.

Hapo daaa coach asilimia kubwa sikuhizi hawatengezi body coz hakuna order.
Rudi mazungumzo nyuma.
Nilisema aliye mabasi liliotengezwa na dar coach body builder ambayo lipo active mpk sasa?
Nikaamia kurahisisha alete namba E maana namba E ilianza 2023 November kama sikosema , alete ambayo limesajiliwa na E la dar coach. Ambayo lipo active mpk sasa.

Sasa ukilete ya namba B , A, C sijui D Tena D ya mwanzoni. Ambayo kipindi mchina ajapamba moto.
Mbona Yapo mengi tuu ila most hayapo barabarani
 
Kuna assembly plant Moja alitembelea waziri mkuu ya mabasi.
Ila sidhani kama wameuza wale basi hata moja
 
Sasa waambie na wao wakuletee trucks wanazo assemble au wakuletee kiwanda kinachojenga gari Kenya, usivamie mjadala mjomba pasipo kuelewa, waambie wakuletee kiwanda cha kujenga gari Kenya nimekaa paleee 👉 👉 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kenya tuko na more than one truck assembly plant
1. AVA in Nairobi

2. AutoMart Africa in Thika

3. Another AVA plant in Mombasa
 
Sorry English Professor ( is there anything you don’t relate to?… yesterday was guns 🤣🤣) anyways, I wasn’t paying attention to such .. just giving your homo homie ( Alaska 007) a heads up where to kick it and blend when he gets here ( apparently he will be here soon, so he claims)… Is he your BF ?.. you don’t have to answer that.. 🤣🤣
I have tourists from France here in Mbezi Luisi, they ask, don't Kenyans brush their teeth? Why do their mouths stink?
 
Back
Top Bottom