Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Jombi mbona kunyan awampost rais wao humu?hili jukwaa alihusiani na siasa jombi,punguza uchawa
Jombi mbona kunyan awampost rais wao humu?hili jukwaa alihusiani na siasa jombi,punguza uchawa
Walikuwepo wabishi kuliko hawa na wote walitii sembuse hawa kondoo. 😂😂😂Jamaa kwa hilo nimewapigia salute 🫡. Wanateteana hao balaa. Hata kama wanajua hicho kitu ni uongo lakini wanakomaa nacho. 🤣🤣 huwa najiulizaga, hivi mliwezaje ku handle watu wa caliber hii since hapo awali.? Seems it was very difficult to win a single discussion.
Mana hata kitu kinaonekana wazi kwa macho pia wanabisha. 🤣🤣
Nilishapiga ignore muda, fanyeni pia hivo.Jombi mbona kunyan awampost rais wao humu?hili jukwaa alihusiani na siasa jombi,punguza uchawa
Huwa unafurahishwa sana na kupanda gari. Hukuwa unapanda gari ukiwa mdogo?Bongo Unyama bhana. Sahii nimekula zangu Chuma to Arusha, huku naangalia zangu AZAM TV. Kama kawa View attachment 3260487View attachment 3260488
alaf utaskia bandari inapokea mizigo mingi kumbe ni chakula chao 😂😂😂
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1896959785926533392?s=46
Awali wapi na umejoin juzi?Walikuwepo wabishi kuliko hawa na wote walitii sembuse hawa kondoo. 😂😂😂
Hii ilienda DRC. Ndio hii ikitolewa kwa container.
View: https://x.com/africansinnews/status/1896625260101046579
Hii ilienda DRC. Ndio hii ikitolewa kwa container.
View: https://x.com/africansinnews/status/1896625260101046579
Hii ilienda DRC. Ndio hii ikitolewa kwa container.
View: https://x.com/africansinnews/status/1896625260101046579
How old are you?
Sijawahi ikia mtu anaita msichana wake 'Manzi' Tanzania. Tuna maneno mengi sana.Kweli manzi siyo neno letu, mi nililisikia US nilipoanza ku hang out na Wakenya. Ila Ndinga ni letu, kumbuka zamani ilikuwa rahisi sana kujua maneno ya Kenya na Tanzania ila siku hizi ni ngumu kidogo. Muingiliano baina ya watu wetu Afrika mashariki umekuwa mkubwa sana.
😂😂😂Huwa unafurahishwa sana na kupanda gari. Hukuwa unapanda gari ukiwa mdogo?
Uta mpost garasa? Nime post usome content kama Unaumia ukiona sura ya Samia ugua pole 😂😂Jombi mbona kunyan awampost rais wao humu?hili jukwaa alihusiani na siasa jombi,punguza uchawa
Huwa hawakubali kushindwa watatafuta tu uongo wowote washindane. 😂😂😂
Jamaa kwa hilo nimewapigia salute 🫡. Wanateteana hao balaa. Hata kama wanajua hicho kitu ni uongo lakini wanakomaa nacho. 🤣🤣 huwa najiulizaga, hivi mliwezaje ku handle watu wa caliber hii since hapo awali.? Seems it was very difficult to win a single discussion.
Mana hata kitu kinaonekana wazi kwa macho pia wanabisha. 🤣🤣
So leo hii mnakana kwamba DRC hawatumii bandari ya Dar? Haya basi tuonyesheni hiyo gari ikiendeshwa Tanzania ama ikiwa delivered to the owner.Wacha upumbavu yani mtu a-import gari Dar port iende Kinshasa kama vile Kinsasha hakuna bandari?