Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

labda nikwambie kitu dar city roads ni nyingi kwa km kulinganisha na nairobi tofaut iliopo barabara za nairobi ni pana kwa sasa ukilinganisha na dar, ila dar ndio wameanza kupanua barabara nyingi sana na kuweka BRT kulingana na phase husika

uchumi wa dar ni kuwa dar is the second fastest city in development in the world, shida yenu iliopo ondoeni ile fikra ya dar of 90s ndio utanielewa
Nakingine si nairobi yote kama ina barabara pana....sehemu zenye barabara pana ni chache tena ni zile mpya mpya...ambazo hazina hata miaka saba au 5...kama sikosei.....ni sehemu chache tu zenye barabara pana
 
Eeeeh.... Ndio tuheshimiane sasa.... Some dumb ass Danganyikans cannot continue to disparage my country Kenya in a way they like...
 
IMG_0233.jpg
 
Back
Top Bottom