much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,548
Wale walioshindwa kuingia kwenye politics wameamua kwenda kuwa slaves uarabuniSio mombasa tu bali Kenya iko hivyo matajiri wote ni wanasiasa na ndiyo mana Kenya ni siasa tu na siasa ni Kenya. Wakenya wote wanapambana wawe wanasiasa, wewe angalia miandiko ya wakenya humu imejaa siasa na ukabila, kimsingi Kenya haitokuja kuendelea mpaka wabadili mfumo wa elimu alafu kizazi hiki chote kipotee waje wakenya wengine, na waache mambo ya kushinda kwenye mitandao kubishana siasa kama wakenya hawa wa sasa.