Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa has the same number of dollar millionaires as Dar is slum.
Nairobi has more dollar millionaires than entire Tanzania.
Mombasa hata Nairobi Haina mamillionare ila inawanasiasa wanaochota mabillion ya serikali hivi pata picha mabillion ya dollar ya mkopo wa Euro bond wamegawana watu kazaa SI mshatengeza mamillionare kibao huku wakenya wakiendelea kufirika kulipa na kuuza kila kitu Kwa mchina Hadi barabara mpaka umlipe mchina ndo upite
 
Mombasa ukiona millionaire ujue ni mwanasiasa
Sio mombasa tu bali Kenya iko hivyo matajiri wote ni wanasiasa na ndiyo mana Kenya ni siasa tu na siasa ni Kenya. Wakenya wote wanapambana wawe wanasiasa, wewe angalia miandiko ya wakenya humu imejaa siasa na ukabila, kimsingi Kenya haitokuja kuendelea mpaka wabadili mfumo wa elimu alafu kizazi hiki chote kipotee waje wakenya wengine, na waache mambo ya kushinda kwenye mitandao kubishana siasa kama wakenya hawa wa sasa.
 
Walikuwa wanaongea ongea kuhusu huu uwanja kumbe limeshakuwa soko, failed state ever 🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250204-110153~2.png
 
Back
Top Bottom