much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,549
Mombasa hata Nairobi Haina mamillionare ila inawanasiasa wanaochota mabillion ya serikali hivi pata picha mabillion ya dollar ya mkopo wa Euro bond wamegawana watu kazaa SI mshatengeza mamillionare kibao huku wakenya wakiendelea kufirika kulipa na kuuza kila kitu Kwa mchina Hadi barabara mpaka umlipe mchina ndo upiteMombasa has the same number of dollar millionaires as Dar is slum.
Nairobi has more dollar millionaires than entire Tanzania.