hakuna hata passenger terminal😀😀Garissa Airport Kenya
![]()
![]()
tafuta na kisii airport utacheka mpaka uanguke hawa watu ni masikini sinawah kuona😀😀😀😀Nimeweka jamaa ameng'aka. Hataki watu wajue. Kwa sababu ameanzisha mwenyewe ngoja tumalize.
this is what we call an airport...sio hayo magofu nimeona leo...yaani nimewadharau sana wabongo toka leo..sikujua hali ndio hio...ni huzuni
![]()
![]()


..airport nzur kwa mbele tu ..kwa nyuma ni ma godown ..majumba kama ma godown nothing modern ..subir terminal 3 JNIA ikamilike ..inaukubwa 3/4 ya terminal zote hapo JKIA ..and it will be the most modern ..good equipments ..airbridge zenye uwezo wa kuegesha A380 ..wakati nyie mkiwa kwenye ndoto mnasubiria loan ya Afdb muanze ku expand runway na terminal zenuHuu uzi sijawahi kuufungua tangu nijiunge JF, huwa unatrend lakini naupita tu.hakuna hata passenger terminal😀😀
yani hata choo hakuna
Mko vizuri ila jkia ni nomathis is what we call airports...sio hayo magofu nimeona leo...yaani nimewadharau sana wabongo toka leo..sikujua hali ndio hio...ni huzuni
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibu sana huu ni moja ya nyuzi zakipekee sana jfHuu uzi sijawahi kuufungua tangu nijiunge JF, huwa unatrend lakini naupita tu.
Aisee ni mtamu sana, nimecheka sana hui mpambanoo
Pongezi kwa Annael na wadau wengine wote
Usitudharau brother taratibu tunajikongojawacha nimalizie kwa songea airport...kakini kumbe wabongo sio watu wazuri...picha za Dar wamejaza hapa wakiimba jinsi walivoendela kumbe mambo nj ya Dar ni haya...nimewadharau toka leo
Ahsante mkuu.Karibu sana huu ni moja ya nyuzi zakipekee sana jf
Hii sio airport we mkola ni terminal yenu ya treni ya dieselif this was in Tanzania, it would be better than the best airport
![]()
![]()
![]()