Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yeye ndio alipost sio mimi. Hujui chochote na umejaza picha za Nairobi kwa hio Itel yako.
Ushakasirika, mm ndiyo furaha yangu hiyo. Itel inakaa hivi?👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250113-193712~2.png
 
Najua umeumia kwamba hakuna city ukitoa Nairobi inayoweza kupambana na Dodoma huko Kenya, labda nikuambie tu, Dodoma hata Dar haiiwezi sio tu Nairobi, yn kwa EA hakuna mji wa kisasa uliopangika na hauna slums kama Dodoma, hii ni fahari ya East and Central Africa.
🤣 🤣 Planned you say.

ScreenShot Tool -20250113122122.png
 
Pole, matajiri hawaishi kama kunguni. 🤣 🤣 🤣 Umezoea zile nyumba Dodoma za masquatter. Nyumba ni percent, roof ni 80 percent. 🤣🤣🤣
Sijui ubaongea ujinga gani.? 😂😂😂 karibu kila raia in this Ilazo street alone anamiliki nyumba inayofanana kama hii 👇🏾
IMG_3684.jpeg
halafu cheki ukubwa wa hiyo mitaa sasa. 😂😂👇🏾
View: https://youtu.be/dK4KV8Dr6Jg?si=JYRSgXC7Ywo_P1Mx. Mind you haka ni kasehemu kadogo tu with in Dom.
 
Back
Top Bottom