President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,074
- 93,481
Uchafu kama uchafu mwingineUkona kelele na hakuna kitu unatuonyesha.
![]()
![]()
Uchafu kama uchafu mwingineUkona kelele na hakuna kitu unatuonyesha.
![]()
![]()
Sijui ubaongea ujinga gani.? 😂😂😂 karibu kila raia in this Ilazo street alone anamiliki nyumba inayofanana kama hii 👇🏾View attachment 3201062halafu cheki ukubwa wa hiyo mitaa sasa. 😂😂👇🏾
View: https://youtu.be/dK4KV8Dr6Jg?si=JYRSgXC7Ywo_P1Mx. Mind you haka ni kasehemu kadogo tu with in Dom.
Ngoja nikusaidie ku zoom ili uone vizuri kilichopo hapo ground, inawezekana unachanganyikiwa na hizo lipstick 👇🏾😂😂😂Ukona kelele na hakuna kitu unatuonyesha.
![]()
![]()
Wakenya wanafikiri kwa kutumia matumbo🤣 🤣 🤣 Huoni aibu na hizi nyumba za masquatter, hata barabara ya lami hakuna, landscaping ni zero, miti pia ni shida.
Stick hapohapo kwenye barabara ndio penye salama yako 😂😂😂 ila kwa nyumba za maana and better plan, dodoma is far better.🤣 🤣 🤣 Huoni aibu na hizi nyumba za masquatter, hata barabara ya lami hakuna, landscaping ni zero, miti pia ni shida.
Sijui ubaongea ujinga gani.? 😂😂😂 karibu kila raia in this Ilazo street alone anamiliki nyumba inayofanana kama hii 👇🏾View attachment 3201062halafu cheki ukubwa wa hiyo mitaa sasa. 😂😂👇🏾
View: https://youtu.be/dK4KV8Dr6Jg?si=JYRSgXC7Ywo_P1Mx. Mind you haka ni kasehemu kadogo tu with in Dom.
Better na vumbi, Nakuru umeona unpaved roads kama Dodoma, yet Dodoma is a capital city. Aibu.Stick hapohapo kwenye barabara ndio penye salama yako 😂😂😂 ila kwa nyumba za maana and better plan, dodoma is far better.
Wewe mshamba ni kama unafurahia kuona nyumba mingi eneo moja. Ebu compare hii Estate in Kiambu na hio upuzi munafanya huko Dodoma hata barabara hamuwezi jenga. Nyumba nazo pia ni ugly, take notes.
View: https://www.youtube.com/watch?v=5V-0FxyPfVg
Unataka mji wote uwekwe lami over night wewe kichaa.? 😂😂Better na vumbi, Nakuru umeona unpaved roads kama Dodoma, yet Dodoma is a capital city. Aibu.
Ju hio ni mji wote, hio estate yote haina hata centimeter moja ya lami. 🤣🤣Unataka mji wote uwekwe lami over night wewe kichaa.? 😂😂
Mradi upo under construction.. kama unaona nakuonea leta vipimo vyake kwa google earth. 😂😂 me ndio kwanza nimeanza, umeshaanza kulia. I promise you utatafuta mitaa mizuri all around kenya na nitakubamiza tu na Dom moja. 😂😂Umepima na macho ukajijazia ni bigger after umeona Dodoma is trash, ugly houses, no paved roads, no land scaping. 🤣 🤣 Bongolala mumezoea kufanya vitu nusu nusu.
Dodoma yote haina lami.? 😂😂😂 mbona unaharakisha vita? 😂😂Ju hio ni mji wote, hio estate yote haina hata centimeter moja ya lami. 🤣🤣
Hakuna cha maana hapo, nyumba ni ndogo kama nyumba za squatters, barabara ni vumbi, proper vumbistan vibes. Kama huko ndio middle class wa Dodoma wanaishi, mkona shida kubwa. 🤣 🤣 🤣Mradi upo under construction.. kama unaona nakuonea leta vipimo vyake kwa google earth. 😂😂 me ndio kwanza nimeanza, umeshaanza kulia. I promise you utatafuta mitaa mizuri all around kenya na nitakubamiza tu na Dom moja. 😂😂
Dodoma ukitaka kuona lami itabidi utafute ofisi za serikali au uende town center. 🤣🤣 Suburbs ni vumbi tupu, ndio maana wabunge wenu hata hawataki kuishi huko.🤣🤣Dodoma yote haina lami.? 😂😂😂 mbona unaharakisha vita? 😂😂
3 bedrooms house ni nyumba ya squater.? 😂😂😂Hakuna cha maana hapo, nyumba ni ndogo kama nyumba za squatters, barabara ni vumbi, proper vumbistan vibes. Kama huko ndio middle class wa Dodoma wanaishi, mkona shida kubwa. 🤣 🤣 🤣
Oysterbay na Masaki ziko around CBD. Hizo zingine more than 50% roads ni vumbi.OYSTEERBAY,MASAKI,MBWENI,KIJICHI sio CBD mkuu
Inaweza kua 3 bedrooms but very small. Size za nyumba si hata zinaonekana tu. 🤣 🤣3 bedrooms house ni nyumba ya squater.? 😂😂😂