Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Diamond (TZ)-tanasha (kunyaland),nani alimkojolea mwenzie hapa?
Alivyofala anashangilia wao kushika namba moja kutazama nyimbo za watanzania hajui kama tumewageuza soko, ni kama mziki wa Congo enzi zile hapa bongo, tulikuwa tunaufuatilia kuliko wacongo wenyewe, kibao kimegeukia kwa wakunya vs bongofleva.
 
Kenyans are the backbone of Tanzanian artists, that’s why tunawakojolea na wamenyamaza. There is nothing they can do without Kenyans.

View attachment 3179948
Ni ushamba au ni nini mko nao? Sasa kama mna nguvu si msupport wakenya wenzenu wafike mbali...au nyingi mna roho mbaya kwa wakenya wenzenu?
 
Hiv nani aliwashauri waweke ile Insurance? Naamini mwakani mambo yatakuwa mabovu zaidi....ni turn off kwa watalii wengi.

Waimprove kwanza health infrastracture zao ndo waweke hizo Insurance... otherwise watu watu wataenda maldives, diani, nk
 
Alivyofala anashangilia wao kushika namba moja kutazama nyimbo za watanzania hajui kama tumewageuza soko, ni kama mziki wa Congo enzi zile hapa bongo, tulikuwa tunaufuatilia kuliko wacongo wenyewe, kibao kimegeukia kwa wakunya vs bongofleva.
Akili hana yule,pesa wanayoingiza wasanii wa TZ kule kundudweller ni nyingi kuliko gawio wanalolipata equity na kcb bank hapa TZ
 
We nawe nini? Kwa hiyo umekweps bridge unataka kuleta ka bus, umeelewa why nimeitaja? Unadhani me naflash ubongo kama nyie?

Nimeshangaa electric bus ndio unajidai seriously? Tena za kuvizia.

Now tuoneshe cable stayed bridge uliyosema mnayo.
Do you have electric buses in Tanzania?
 
Ni ushamba au ni nini mko nao? Sasa kama mna nguvu si msupport wakenya wenzenu wafike mbali...au nyingi mna roho mbaya kwa wakenya wenzenu?
Roho mbaya gani na evidence is there to be seen? Nairobi alone has more youtube Viwers than Entire Tanzania. Actually Nairobi Youtube viewers are twice than of Vumbistan as a whole.
 
Do you have electric buses in Tanzania?
No we don't. We have the same bus tena zinaonekana kila siku, Electric tulipeleka kwa Electric train you can never achieve tena ni nyingi kuliko all your buses uchwara mlivyonavyo. And they are valuable than mradi wowote mlionao.

Now back on table where is cable stayed bridge in Kenya?
 
Do you have electric buses in Tanzania?
Alafu kijana we have this
1734592614792.png


Most them are articulated sijui hata mshawahi iona articulated bus hapo mjini.

Ukiona BRT unawaza bus kijana BRT ni system mambo ya kuwaza bus ndiyo yalifanya muwe na hivi
1734592759564.png


Mmekopa hela zote kuchora hivyo

Tunaposema BRT tunamaanisha this, dedicated bus lanes zege tupu, enclosed stations, smart ticketing, and organized.

1734592968478.png


When will you get this huko ukunyani? mzee wa flyover na electric bus za kuvizia?
 
No we don't. We have the same bus tena zinaonekana kila siku, Electric tulipeleka kwa Electric train you can never achieve tena ni nyingi kuliko all your buses uchwara mlivyonavyo. And they are valuable than mradi wowote mlionao.

Now back on table where is cable stayed bridge in Kenya?
Our electric buses we build them here in Kenya, what about those refurbished ever stalling electric second hand trains? Did you build them in Vumbistan?
 
ichoboy01 what happened to your currency bullish run? Yani siku tatu pekee na ishakunja mkia against the mighty Ksh? We are going back to 20 by Monday. Juzi tulikuwa 16 and i can see we are now at 18.47.

1734593300849.jpeg
 
Back
Top Bottom