ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Kwanza nikachungulie ya Mr misondo
Na anaitwa mama Magomeni pia ndoa yake ilifanyika bongo, kwa nini tufiche ukweli.Mnapenda kujitafutia umuhimu. Saahii sasa mnataka kujifanya mna urafiki na mama na kabla ateuliwe hamkumuongelea. No wonder Wasauzi wanawafukuza. 😂 😂
Kiki imebuma!
🤣 🤣 🤣 🤣 Hii ndiyo unaiita Doze?Daily Dose
![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbuka afcon watakuwa kwenye uchaguzi na kama kawaida Yao hawajawahi tuliza mshono . Rwanda mjanja sana ,alivosikia tu kenya kapewa uandaji akaanza kujenga viwanja vyake fantastic akijua kabisa hizi mburusa zitachemka tuinachekesha asee imagine anapewa mwingine na wewe ulishindwa kuqualify? so hauendi popote hahaha
Wakishindwa Host CHAN I don't know AFCON CAF kama watawazingatia kweli itakua blunder kubwa