Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio ndio Chuchunge toka day one amezoea kurusha maneno. Wakati tunazindua Madaraja ya kisasa Tanzanite, na Kigogo busisi walikua wanatuletea MOMBASA bridge limejaa adjectives kama zooteee. Mind you Kigogo busisi ilizinduliwa ujenzi mbele ya Mombasa.

Ila now cheki Tanzanite complete na Kigogo Busisi ipo finishing phase.

Same kwa Ngija ngija aliona kimya akajua tupo porini, now kuna joka linatambaa ghafla SGR yao imechakaa imekua ya kikoloni.
Wamebaki kutenga uongo tu. 😂😂😂
 
Wazee wa Nairobi Ultra modern Green park Terminal will be one of KIND IN AFRICA kipind Magufuli Bus Terminal ipo launched mpooo Teargas.
1000200850.jpg

1000200849.jpg

Baada ya kuwekewa KALED light mnajikuta mmemaliza kuifanya MODERN even kituo cha Daladala Tabata ni afadhali
1000200855.jpg


SGR Ikaja ghafla imekua Outdated baada ya Tz kuonesha maana ya SGR. Siku hizi hawana hamu ya kuiweka imagine mtu anatetea Extended Canopy?

TALANTA LOADING..........

Kila mradi wa ukunya Mbongo akiujenga kinachofata ni hasira kuwa wamepigwa kwenye mradi wao.
 
Let me educate you Bongolalas … Ruto was just playing psychology with back home politics…. It’s called cutting your nose to spite your face ( Google that)….He was sending the message to Kenyans especially Gen. Z whom he feels are sabotaging his political vision for Kenya’s prosperity…. At least that’s what he thinks…. And that’s why he used the words … “it is what it is”… You usually use such term to emphasize an effect of frustration…… I hope I have educated you….🤣🤣🤣
Hahahahah🤣
 
Wazee wa Nairobi Ultra modern Green park Terminal will be one of KIND IN AFRICA kipind Magufuli Bus Terminal ipo launched mpooo Teargas.
View attachment 3166444
View attachment 3166471
Baada ya kuwekewa KALED light mnajikuta mmemaliza kuifanya MODERN even kituo cha Daladala Tabata ni afadhali
View attachment 3166456

SGR Ikaja ghafla imekua Outdated baada ya Tz kuonesha maana ya SGR. Siku hizi hawana hamu ya kuiweka imagine mtu anatetea Extended Canopy?

TALANTA LOADING..........

Kila mradi wa ukunya Mbongo akiujenga kinachofata ni hasira kuwa wamepigwa kwenye mradi wao.
Mafalamanga Ndio wali wao! Tunaenda kuwaonyesha modern stadium inakaaje pia!
 

Kunatofauti sana ya Tanzania na Kenya linapokuja swala la Ubora kwenye Ujenzi, Tanzania tuko very serious
 
Let me educate you Bongolalas … Ruto was just playing psychology with back home politics…. It’s called cutting your nose to spite your face ( Google that)….He was sending the message to Kenyans especially Gen. Z whom he feels are sabotaging his political vision for Kenya’s prosperity…. At least that’s what he thinks…. And that’s why he used the words … “it is what it is”… You usually use such term to emphasize an effect of frustration…… I hope I have educated you….🤣🤣🤣
It seems you are acting God how on earth could you tell Ruto"s mind from his words?
 
Back
Top Bottom