Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini wa kwetu tofauti na nyie ni ya muchina sio muda kila kitu Kenya kitakuwa muchina owned Hadi flyover GOK mnashindwa kujenga wachina wanajengea Kisha kuwatoza milele
Ukileta evidence I ya Mchina natoka JF, hiyo yenu sitashangaa kama ni Mchina by the way.
 
Jamaa huwa ni mpumbavu 😂😂😂namu enjoy sana.. ni aina ya yule mtu ambae he thinks he knows better kumbe ni fala tu mmoja. Raisi wake kawavua nguo sasa. 😂😂😂
Ila Ruto huyo huyo alipokua USA for Major Non NATO ally walikua na midomo mirefu kuliko train shade yao wanayojifariji nayo.
 
Jamaa huwa ni mpumbavu 😂😂😂namu enjoy sana.. ni aina ya yule mtu ambae he thinks he knows better kumbe ni fala tu mmoja. Raisi wake kawavua nguo sasa. 😂😂😂
Vichaka vyote vinafyekwa uzuri wakiendelea kukomaza shingo ni afadhali, kuliko wangeamka waanze figisu kwenye uchumi.

Nataka waendelee kuamini hivyo hivyo.

Teargas usijali mwana RUTO MUONGO SANA. Kwanza timu yenu ipo AFCON, CAF waongo TZ haijaenda.

Magazeti yana uongo mwingi Mchongoko uko Kenya Tz tuna Ngija ngija moja linatoaga ushuzi mweusi tiiiiiiii.
 
Sijajua ni nani ila nina uhakika ni chuchunge. 😂😂😂
Ndio ndio Chuchunge toka day one amezoea kurusha maneno. Wakati tunazindua Madaraja ya kisasa Tanzanite, na Kigogo busisi walikua wanatuletea MOMBASA bridge limejaa adjectives kama zooteee. Mind you Kigogo busisi ilizinduliwa ujenzi mbele ya Mombasa.

Ila now cheki Tanzanite complete na Kigogo Busisi ipo finishing phase.

Same kwa Ngija ngija aliona kimya akajua tupo porini, now kuna joka linatambaa ghafla SGR yao imechakaa imekua ya kikoloni.
 
Back
Top Bottom