Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Tanzania has overtaken Kenya in Goods and Services trade.
President Ruto admits. Nimefurahi vile Wakenya wametokwa na mapovu kwenye comments 😀 . As I said , vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vinafyekwa one by one. Hakuna kichaka kitabaki kimesimama 😀😀😀
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1862550485955137588?s=46&t=13nU45_Q7ipNzgLj4QuH9A
Tanzania has overtaken Kenya in Goods and Services trade.
President Ruto admits. Nimefurahi vile Wakenya wametokwa na mapovu kwenye comments 😀 . As I said , vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vinafyekwa one by one. Hakuna kichaka kitabaki kimesimama 😀😀😀
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1862550485955137588?s=46&t=13nU45_Q7ipNzgLj4QuH9A
BTW kuna jengo la mama na mtoto kama Hilo tayari hapo Sekou Toure! Hilo ni la pili!
BYW ndio nini?BYW kuna jengo la mama na mtoto kama Hilo tayari!
Alafu vipigo vimeongozana, huku FIFA rankings kule trade, huku tourism 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyang'au Teargas lazima atakuwa anajisikia vibaya baada ya kumsikiliza kaka yake anakubali wazi wazi.