The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Hatuna Mali za Bure Kwa Kundustan 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DC9cY5tN1VQ/?igsh=dWl3eGpyaGwyeWEy
Real men eat meat 🍖!! 😋Vitu navyopenda, My ex look exactly kama huyu. 😂😂😂
Hatuna Mali za Bure Kwa Kundustan 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DC9cY5tN1VQ/?igsh=dWl3eGpyaGwyeWEy
Tanzania has overtaken Kenya in Goods and Services trade.
President Ruto admits. Nimefurahi vile Wakenya wametokwa na mapovu kwenye comments 😀 . As I said , vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vinafyekwa one by one. Hakuna kichaka kitabaki kimesimama 😀😀😀
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1862550485955137588?s=46&t=13nU45_Q7ipNzgLj4QuH9A
Hapo bado kuna zile takwimu zao za internet connectivity ,Yani hayo ni maneno kutoka ikulu kwao na bado watabisha, ngoja chuchunge aje na takwimu zake za kutoka gikomba, hakuna battle hapa.
Tanzania has overtaken Kenya in Goods and Services trade.
President Ruto admits. Nimefurahi vile Wakenya wametokwa na mapovu kwenye comments 😀 . As I said , vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vinafyekwa one by one. Hakuna kichaka kitabaki kimesimama 😀😀😀
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1862550485955137588?s=46&t=13nU45_Q7ipNzgLj4QuH9A
Baada ya kumsikia president wao akitii now wote wamekimbia, wanaugulia maumivu, inauma sn mana tumewapiga kotekote na tena sio kwa maneno bali takwimu wanazotaka wao, sio uchumi, sio football (club level, national level, international level) kuanzia soka la vijana, wanaume mpaka soka la wanawake tumewapiga, ukija kwenye utalii ndiyo kabisa, wamebaki na mambio ya mita 50,000 mchezo wa kimaskini, unakimbia weeeeee unapewa $1000🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo bado kuna zile takwimu zao za internet connectivity ,
Kuna mmoja humu anakujaga na takwimu uchwara za Electricity Acessibility sijui, Vitakwimu wanajitengenezea kujifariji.
Kichaka baada ya kichaka 😀😀😀
Hii Battle inaisha rasmi mwaka huu huku Rais wao akiifunga😂😂😂😂😂Yani hayo ni maneno kutoka ikulu kwao na bado watabisha, ngoja chuchunge aje na takwimu zake za kutoka gikomba, hakuna battle hapa.
Tanzania has overtaken Kenya in Goods and Services trade.
President Ruto admits. Nimefurahi vile Wakenya wametokwa na mapovu kwenye comments 😀 . As I said , vichaka vyote walivyokuwa wanajificha vinafyekwa one by one. Hakuna kichaka kitabaki kimesimama 😀😀😀
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1862550485955137588?s=46&t=13nU45_Q7ipNzgLj4QuH9A
Kwamba Rais wao Kajifunga goli mwenyewe (Own Goal)Hii Battle inaisha rasmi mwaka huu huku Rais wao akiifunga😂😂😂😂😂