The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Wenzao Dodoma wanaproduce one of the best wine in Africa pamoja na kuishi kwenye jangwa na Wanalima grandnuts vzr tu.Wa
Wanalazimisha kuamisha dunia kuwa wao ni desert country ili wapewe misaada ya chakula
Wanacheza kibwawa ujumbe wa mwimbo Halafu Midume inakatika!Kwaiyo majangu wa Kenya wakitwerk mitandaoni ndo tayari washakuwa modern?
Harafu wao wanajiita modernWanacheza kibwawa ujumbe wa mwimbo Halafu Midume inakatika!
Acha ufala ,Dodoma si jangwa.Wenzao Dodoma wanaproduce one of the best wine in Africa pamoja na kuishi kwenye jangwa na Wanalima grandnuts vzr tu.
Huko kenya ni wavivu tu. Wote wanakimbilia Nairobi
See how Kundustans r civilized!I remember my childhood enzi za Kanu youthwingers ….. this very primitive
😂😂😂 huyu kichaa ataambia nini watu?. Teargas Una lipi la kusema .? Tz kwasasa ndio baba wa Africa mashariki kisoka.Kichaka walichokuwa wanajifichia tumekwisha kifyeka 🤣🤣🤣🤣
![]()
Micky Jnr African Football Journalist
Men’s FIFA Rankings — Africa. 🚨🌍 21. Benin — 94th (World) 22. Mozambique — 96th 23. Comoros — 103rd 24. Tanzania — 106th 25. Kenya — 108th 26. Mauritania — 109th 27. Namibia — 111st 28. Sudan —...www.facebook.com
Na Ile ya Arusha imefika wapi Mr. Game Over?Good one for UG, Dodoma stadium is yet to be launched. Will be of its kind in the Region.
Mama yupo chuga huenda akatembelea mradi, tutapata updates kesho tu, kitu kingine sisi tunajenga viwanja vitatu vipya, Chuga, Dom na Zanzibar.Na Ile ya Arusha imefika wapi Mr. Game Over?