Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ingekua huko Ukunyani hivyo viroba vyote vingesombwa kusaidia baadae, nani mwenye njaa sasa na umasikini? Wa kujiita matajiri hadi kula Matikiti yaliyoanguka.
Tz unaona watu priority zao ni kumtoa dereva salama not njaa

View: https://vm.tiktok.com/ZMht82k41/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data & Fast - Apps on Google Play

Picha nyingi za matukio ya ajali huwa zinaonesha utofauti wa maisha btw Kenyans and Tanzanians, hapo ingekuwa Kenya hakuna kiroba kingebaki, liliwahi kudondoka roli la soda Kenya raia wakaanza kuokota soda wanakimbia nazo, robo saa tu hakuna soda hata moja ukiacha zilizovunjika, lkn tukio kama hilo lilitokea Tanzania hakuna mtu aliyejishuhulisha na soda zaidi ya kuokoa watu walio kwenye roli. Kenya bado sn.
 
unapozungumza uchumi maana yake unazungumzia kuhusu watu, ili watu wajikwamue na umaskini bidhaa kama mafuta, chakula, umeme, vifaa vya ujenzi leo hii tunajisifu tunaviwanda vya cement ila bei tu ya dar ni over 20k kwa 50kg bag vipi bei ya kigoma na bukoba? tunajisifu kwa sasa over 70 tunazalisha umeme kutumia hydro lakini ajabu bei ziko pale pale

unapozungumzia uchumi unazungumzia watu
Mm hili suala la umeme linanishangaza sn aisee, magufuli alisema bei itashuka kabisa lkn hakuna cha kushuka mpaka leo, Africa ni mavi sn.
 
unapozungumza uchumi maana yake unazungumzia kuhusu watu, ili watu wajikwamue na umaskini bidhaa kama mafuta, chakula, umeme, vifaa vya ujenzi leo hii tunajisifu tunaviwanda vya cement ila bei tu ya dar ni over 20k kwa 50kg bag vipi bei ya kigoma na bukoba? tunajisifu kwa sasa over 70 tunazalisha umeme kutumia hydro lakini ajabu bei ziko pale pale

unapozungumzia uchumi unazungumzia watu
Umewahi sikia saruji imedoda au ujenzi umepungua kisa Dar bei ni 20k? 😂😂😂😂

Saruji xinaisha na viwanda vipya vinajengwa tafsiri yake ni kwamba uwezo wa purchasing power umeongezeka.

Punguza kuwa mbumbumbu wa kufanya analysis wakati hujui kitu 😁😁

Kwa mama mambo ni shere 🔥🔥
 
Umewahi sikia saruji imedoda au ujenzi umepungua kisa Dar bei ni 20k? 😂😂😂😂

Saruji xinaisha na viwanda vipya vinajengwa tafsiri yake ni kwamba uwezo wa purchasing power umeongezeka.

Punguza kuwa mbumbumbu wa kufanya analysis wakati hujui kitu 😁😁

Kwa mama mambo ni shere 🔥🔥
hio ndio fact utake usitake, upende usipende fact itabakia kua uchumi ni watu no matter what 😂😂😂😂😂😂

saruji zinaisha zinanunuliwa na kina nani zaidi ya wale wanaokula kwa urefu wa kamba, purchasing power ipi wakat gap between rich and poor inazidi kupanuka

tuseme abduli angefukiwa na kifusi pale je tungeenda brazil au ndio ng'ombe wa maskini hazai
 
Mm hili suala la umeme linanishangaza sn aisee, magufuli alisema bei itashuka kabisa lkn hakuna cha kushuka mpaka leo, Africa ni mavi sn.
na ndio watanzania walitegemea hvo bei ya umeme ishuke ili viwandani bei za bidhaa zishuke ndio uchumi unaongelewa hapa, kwa sasa umeme tunaotumia ni over 75% ni hydro lakini ajabu bei iko palepale
 
Wewe ulitakaje? Kwa nini hukuenda kuokoa unaongea ujinga hapa?
kazi ya jeshi la uokoaji ni nini na wanalipwa pesa za nini?? jeshi la polisi wanalipwa pesa za nini??? zile ambulance zilizonunuliwa kwa fujo ziko wapi au watu washachomoa spare ziko juu ya mawe sasa hvi?? kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake??
 
kazi ya jeshi la uokoaji ni nini na wanalipwa pesa za nini?? jeshi la polisi wanalipwa pesa za nini??? zile ambulance zilizonunuliwa kwa fujo ziko wapi au watu washachomoa spare ziko juu ya mawe sasa hvi?? kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake??
Ndio wako wanafanya kazi Yao wewe unaongea upuuzi watu wako kazini ungekuwa jirani ungeshikishwa adabu kwanza👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DCd2l_oNvgw/?igsh=aXYzcnRmdGw5Zzdk

View: https://www.instagram.com/p/DCdpkCgiroe/?igsh=MXdnYjV4M3Q1ZWdqOA==
 
hio ndio fact utake usitake, upende usipende fact itabakia kua uchumi ni watu no matter what 😂😂😂😂😂😂

saruji zinaisha zinanunuliwa na kina nani zaidi ya wale wanaokula kwa urefu wa kamba, purchasing power ipi wakat gap between rich and poor inazidi kupanuka

tuseme abduli angefukiwa na kifusi pale je tungeenda brazil au ndio ng'ombe wa maskini hazai
Kuna facts tofauti na kwamba saruji xinaisha madukani na viwanda vipya vinajengwa?
 
Alibadilishs mjadala nilipomueleza akaelewa alikuwa hajui kitu. Sasa ameanza kuponda Kenya hatuna purchasing power using my definition. Hawezi kubali tu akikosea.😂😂
Watanzania wote I think hawajui what purchasing power of a person is😂😂🤣
 
Back
Top Bottom