Huna hoja.Hata ya Magufuli pia mlijua before Kenya, sindio?😂😂🤣
Mjadala wa Magufuli tulishaufunga.
Rudi kwenye mada kuu.
Huna hoja.Hata ya Magufuli pia mlijua before Kenya, sindio?😂😂🤣
No matter what hatuwezi kuwa na mitazamo sawa sawa kifo cha magufuli mpaka leo kuna watu mnashangilia mbona hatukuwauliza kama nyie wazazi wenu wameshakufaWazazi wako wameshakufa?
Hii mbinu ndio tuitumie kuunganisha Africa, Ethiopia na Uganda wameweza 👇👇
View: https://youtu.be/VmFzdBi2VP0?si=E96S1LuH4s6iWCaO
Ndio wameamua kuwapa Mafuta Ethiopia wawajengee barabaraMi kitu nashangaa tar inatokana na crude oil inakuwaje South Sudan wawe na barabara Mboni na wana oil?
kwan kwa serekali hii kipi kinashindikana 😂Uzushi,kama serikali itanunua basi ni katika utaratibu wa Sasa na sio kumnunulia Mwekezaji
kaka sasa hvi ni upigaji na hvi pesa ziko nje nje hazina msimamizi watu wanapiga pesa wanewaekea alimradi liende alaf sisi tuendelee kushangilia 😂😂😂😂😂ingawaje wamejitahidi lkn kwa maoni yangu bado hawajafikia quality ya vituo vya br. A.H. Mwinyi kutokea moroko mpaka kituo cha red cross, vile vituo vya hiyo br. kila nikiviangalia huwa nastaajabu sana kwa kazi nzuri iliyopigwa pale sijui ni nani alivijenga, vinaweza vikadumu hata miaka 50 ijayo labda kubadilisha paa tu, na ni vikubwa haswa watu wengi tu wanaweza kutoshea …
watajenga vp wakat marekani anapeleka vita kwao kila baada ya dakikaMi kitu nashangaa tar inatokana na crude oil inakuwaje South Sudan wawe na barabara Mboni na wana oil?