Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yenu inakwenda kasi, yetu ilikwenda kasi na haturingi.
TZ SGR electrified, Kenya SGR with coal.
Kenya
520172912597949921703.jpg


Tanzania
7-jpg.486744
 
Point out where I have complained man. You got serious comprehension skills.
My first quote I stood as a humble Tanzanian.. (Patriot) And I told you how our economy suffered too..from a number of events.

Your reply ..was The Great Mwl. Nyerere was a failure.. And I did agree with your thoughts... I can't change how you think..

Although I still don't understand how did we Bring The Great Mwl. Nyerere into this..

So I thought we are Talking about Tanzania at Large.. In return would it be fair if I look at you as Kenya?!

Coz that's exactly what i did.. Your fellow brothers and sisters are pointing out war on terror as a reason for Drop in FDI and Tourism.. So.I.think its fair to say you(Kenyans) are complaining...

Nadhani uelewa ni dhana pana. Na inaanza na kujielewa kwanza.
 
My first quote I stood as a humble Tanzanian.. (Patriot) And I told you how our economy suffered too..from a number of events.

Your reply ..was The Great Mwl. Nyerere was a failure.. And I did agree with your thoughts... I can't change how you think..

Although I still don't understand how did we Bring The Great Mwl. Nyerere into this..

So I thought we are Talking about Tanzania at Large.. In return would it be fair if I look at you as Kenya?!

Coz that's exactly what i did.. Your fellow brothers and sisters are pointing out war on terror as a reason for Drop in FDI and Tourism.. So.I.think its fair to say you(Kenyans) are complaining...

Nadhani uelewa ni dhana pana. Na inaanza na kujielewa kwanza.
Bro hapo utatwanga maji kwenye kinu wakenya wengi kwenye history wako poor

Hawajui vile tanzania ilitumia economy yake kupeleka ukombozi kwa nchi za africa

Asikilize hii hotuba ya south africa kwenye maziko ya mandela ndio watajua tanzania ilifanya nn

 
Bro hapo utatwanga maji kwenye kinu wakenya wengi kwenye history wako poor

Hawajui vile tanzania ilitumia economy kupeleka ukombozi kwa nchi za africa

Asikilize hii hotuba ya south africa kwenye maziko ya mandela ndio watajua tanzania ilifanya nn


Najua hawa ndugu zetu wapo nyuma.. Ila tusiwakatie tamaa..inabidi tuwafundishe..ICHOBOY01.. Ukisikia huo ni Msalaba wako.. Sisi wetu ni hawa jamaa.. 🙂, tuwapige shule tu taratibu.. Labda wataelewaga huko mbeleni.

Kuwa kaka mkubwa ni janga.
 
Najua hawa ndugu zetu wapo nyuma.. Ila tusiwakatie tamaa..inabidi tuwafundishe..ICHOBOY01.. Ukisikia huo ni Msalaba wako.. Sisi wetu ni hawa jamaa.. 🙂, tuwapige shule tu taratibu.. Labda wataelewaga huko mbeleni.

Kuwa kaka mkubwa ni janga.
Kitu kinachowaumiza wakenya wengi nikushtushwa na maendeleo ya tanzania yaliofanywa kwa miaka 10 tu kwasababu mawazo yao mengi walikua wakifkiri bado tanzania ni ile ya 90s sasa leo wanatahamaki na kuumia sana, so ili akubaliane na wewe mpaka pale hasira na wivu itakapo pungua😀😀😀
 
Kitu kinachowaumiza wakenya wengi nikushtushwa na maendeleo ya tanzania yaliofanywa kwa miaka 10 tu kwasababu mawazo yao mengi walikua wakifkiri bado tanzania ni ile ya 90s sasa leo wanatahamaki na kuumia sana, so ili akubaliane na wewe mpaka pale hasira na wivu itakapo pungua😀😀😀
Hapo ndio pagumu.. Na ukaka inabidi uonekane.. Vijana wana wivu sana na Hasira mingi..

Lakini kichwangumu dawa yake muda tu. Wataelewa.
 
Kitu kinachowaumiza wakenya wengi nikushtushwa na maendeleo ya tanzania yaliofanywa kwa miaka 10 tu kwasababu mawazo yao mengi walikua wakifkiri bado tanzania ni ile ya 90s sasa leo wanatahamaki na kuumia sana, so ili akubaliane na wewe mpaka pale hasira na wivu itakapo pungua😀😀😀
 
Back
Top Bottom