Asanteni sana wakenya
😀😀😀😀
AZAM TV YANG'ARA : Kampuni ya AZAM TV imeibuka kidedea katika kundi la televisheni za kulipia baada ya shindano lililohusisha kampuni nyingine nne za Afrika.
Tuzo hiyo ya ushindi imepokelewa na Azam Media Kenya Limited baada ya kushinda ingizo la kundi la digitali katika sherehe zilizofanyika Jumatatu, Desemba 11 kwenye Hoteli ya Intercontinental.
Katika shindano hilo, ilizishinda Kwese TV, GOTV pamoja na Star Times.
Tuzo hizo ziliamuliwa kwa kura za umma kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) kwa kuchagua Televisheni ya kupilia pendwa miongoni mwa kampuni hizo nne.
Azam TV imeibuka mshindi katika kundi la Waendeshaji wa TV za Kulipia Bora zaidi.
View attachment 651303 View attachment 651305 View attachment 651306 View attachment 651307