Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halft Time to Mombasa.

Hakuna cha mchina hapa, zote ni Kenyan builtšŸ˜
1728851725072.jpeg
 
Ni wakenya na watanzania. Ama do you mind sharing any European, Asian or American country represented there?šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ˜‚.

In Africa only few bored Kenyans camešŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ˜‚
sio tu wakenya wamekuja waganda, zambia , mpaka south africa na kama ulikua hujui hii ni moja ya utalii na utangazaji wa vituo vya utalii tanzania ndio maana ikafanyika arusha

pesa wametafuta kenya wamekuja kutumia tanzania šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚

hoteli zote zimejaa arusha wiki nzima ziko full booked, migahawa ya chakula imefanya biashara isiopimika, vituo vya mafuta vimeuza mafuta kwa wingi, car wash zimefanya bishara kubwa sana, mbuga za wanyama zimepokea idadi kubwa ya watalii hao etc
 
sio tu wakenya wamekuja waganda, zambia , mpaka south africa na kama ulikua hujui hii ni moja ya utalii na utangazaji wa vituo vya utalii tanzania ndio maana ikafanyika arusha

pesa wametafuta kenya wamekuja kutumia tanzania šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚

hoteli zote zimejaa arusha wiki nzima ziko full booked, migahawa ya chakula imefanya biashara isiopimika, vituo vya mafuta vimeuza mafuta kwa wingi, car wash zimefanya bishara kubwa sana, mbuga za wanyama zimepokea idadi kubwa ya watalii hao etc
Ebu tuonyeshe hao wasouth Africa tuwaone, just one picture of themšŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ˜‚.

I tell you that road show only had wakenya na watanzania, there was no any other country represented therešŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ˜‚
 
Sasa umekubali hiyo road show yenu was just attended by Tanzanians and Kenyans? Cause naona kupata South Africans hapo imekushindašŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ˜‚
so weka kwenye akili yako ujue land rover festival imevunja record ya dunia, kuna rafiki yangu yuko huko ndio kaniambia mpaka south africa walikuwepo mpaka wa zambia
 
so weka kwenye akili yako ujue land rover festival imevunja record ya dunia, kuna rafiki yangu yuko huko ndio kaniambia mpaka south africa walikuwepo mpaka wa zambia
Endelea kusikia kwa marafiki wako, huyo alikuwa anakuchocha tu. That road show was only attended by few bored Kenyans and Tanzanians. Hata hao wa Zambia hakuna hata moja alikuwa hapo. Kama unapinga leta pichašŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ˜‚
 
Back
Top Bottom