Huoni hata slums za Kenya zinajengwa in a straight line, bongoslum mukijenga in a straight line mutakufa ama?Ila Nairobi kuna slums aisee
Yaani ukiachana na kibera, mathare, mukuru, kangemi, kawangware, pipeline etc
Kuna hii inaitwa viwandani na nyingine nyuma ya Airport inaitwa kiambiu
Yaan ni slums left, right, centre
View attachment 3120430View attachment 3120431