President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,002
- 93,351
Kundudweller umaskini utakuua.Hizi ndege zikinunuliwa more than 5 nahama huu Uzi.
Kundudweller umaskini utakuua.Hizi ndege zikinunuliwa more than 5 nahama huu Uzi.
Mwambie akupostie basi Moja electric inayofanya kazi hapo bongolala. Wanapenda kulia cooked data kumbe wao ndio Chefs.🤣🤣Ebu mulize walifanya comparison nchi gani ya East Africa alafu wakapata hao wako na gari ngapi and number two had how many electric vehicles 😂😂.
Finally atuonyeshe hizo gari anazoongelea ziko wapi😂😂
Hiyo screenshot ndio chanzo ama?🤣
Nyinyi wote huwa na uelewa duni sana. Hamsaidiki.🤣Tunapo zungumzia eneo la mji hatuhusishi eneo la bahari ni nchi kavu tu.Hapo tunatafakari nn
Nionyeshe basi Moja electric hapo bongolala nihame huu Uzi.Nenda UN wakakupe pages 30 za hayo magari View attachment 3119924
Bigi jidipiii + njaa 😀 😀 Literacy rate ya wakenya ni shida. Kenya ni Mbumbumbu.Nyinyi wote huwa na uelewa duni sana. Hamsaidiki.🤣
Ebu tuonyeshe hizo electric vehicles, tuonyeshe 10 pekee. hatutaki mingi😂😂
Washapata Order nyingi kutoka watu watu wa utailii! Unless unataka kutuambia tour companies zenu wana hela kuliko wa Tanzania!Hizi ndege zikinunuliwa more than 5 nahama huu Uzi.
Of course our tour companies have more money than Tanzania's. I repeat. Zikinunuliwa more than 5 nahama Uzi.Washapata Order nyingi kutoka watu watu wa utailii! Unless unataka kutuambia tour companies zenu wana hela kuliko wa Tanzania!
FIFA hawajui huu uchafuThese girls are on fire. Beating teams everywhere.
View attachment 3120140
😀 😀 😀 Kududweller. Amka utajikojoleaOf course our tour companies have more money than Tanzania's. I repeat. Zikinunuliwa more than 5 nahama Uzi.
Hii ndio picha za hizo Electric vehicles?😂😂😂
Just post a picture, not stories😂😂
Kenya electric bikes built right here in Kenya by Roam. Wakati nyinyi mnasumbuka kutafuta hata kapicha kamoja, mimi naezaweka thousands in seconds😂😂
View attachment 3120069
View: https://x.com/roamelectric/status/1830878470722724045