Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio Mandela tu hata Nyerere Rd na Hasan Mwinyi zilitakiwa ziwe njia nane, tatu za magari ya kawaida na moja mwendo kasi kila upande.Maana tunaambiwa Dar itakuwa na watu million 10 kufikia 2030 yaani myaka sita tu ijayo! Je hivyo vinjia viwili vitahimili ongezeko hilo?au ndo kubomoa na kujenga kila baada ya mda mfupi kama wanavofanya hiyo ya Ubungo/Kimara.
Huwezi kupunguz foleni kwa kutanua barabara. Magari yataendelea kununuliwa na kutanua kuna mwisho. Unafanyaje kupunguza foleni? Moja ya njia isioumiza ni kuboresha public transport ili watu waache magari watumie public transport. Na ndio lengo la BRT. Mwanzoni lilifanikiwa,watu wengi wa Morogoro road walikuwa wanaacha magari wanapanda BRT. Lakini kama kawaida wapumbavu wakaharibu BRT ikawa ya kipumbavu ikabidi watu warudie magari yao. Still bado tunaamini hii ndio solution ikisimamiwa na watu serious tutapunguza kutumia magari binafsi. Angalia SGR. Watu wengi waliokuwa wanaendesha Dar-Moro-Dodoma wameacha magari wanapanda treni kwasababu ni salama,comfortable na gharama mafuu. Kama itaendelea hivi itasaidia ila wakileta upumbavu wa BRT 1 watu wataisusa tena. Pamoja na kuandika haya yote barabara kama Kibaha-Chalinze inastahili njia 6 na km 40 kabla ya Morogoro kutokea Dar inastahili njia 6, Arusha-Moshi-Himo inastahili njia sita.
 
Built in Kenya by Kenyans for Tanzanians😂😂🤣👇👇

View attachment 3118276
Tanzania ipo na more than 1000 bus companies. Kila moja ikiwa na at least 10 buses.

Unajielewa lakini hiyo label ya garage haina nafasi Tanzani.

Bus is Scania from Sweden
Body Marcopolo from Brazil

AVA imefanya kazi gani?
 
Dodoma hit it again with CPA Africa HQ Building 🔥🔥👇👇

View: https://x.com/TimesTanzania/status/1842997523411292584?t=R_fIs8wZLZg6gU2ry7gsWw&s=19

My Take: Ni jambo jema Kwa Tanzania kuwa HQ wa CPA ila jengi hili lingejengwa Arusha ambao ndio Mji umechaguliwa kuwa HQ ya taasisi za Kimataifa Kwa Tabzani.👇👇

View: https://x.com/dailynewstz/status/1843165845339668758?t=ZqbFV4LWDxSr4v4mvlit1w&s=19

Msalato Airport itakuwa white elephant bila projects kama hizi father, acha tu wajenge huko huko, Dodoma ni official political center of East Afrika.
 
The trains never had any trouble, its the SGR system. The distinction between electric and kerosene powered trains is too subtle to understand.

Uliposema tu itawachukua mwezi kuelectify ni wazi hujui kitu. Electric sgr ni system kubwa inayoitaji mifumo na majaribio mengi. Endelea na hizi za mafuta.

View attachment 3118282
Inateleza na Mafuta ya P.Diddy 😅😅😅
 
Msalato Airport itakuwa white elephant bila projects kama hizi father, acha tu wajenge huko huko, Dodoma ni official political center of East Afrika.
Ijengwe na Nina uhakika inajengwa Arusha! The true HQ of international organizations.
 
Msalato Airport itakuwa white elephant bila projects kama hizi father, acha tu wajenge huko huko, Dodoma ni official political center of East Afrika.
Nilitaka ku comment hivi , ni kitu kizuri kama Dodoma itapata HQ nying zaadi, that Airport Project would be worth it now, still dodoma needs vitu kama hivi kuifanya iwe an international city

1. Museums-
2. Conference centers
3. Big companies HQ
4. Indoor stadium kwa ajili ya ku host Games mbali mbali
5. Kuwe na team ya Mpira competitive mfano Dodoma JIji ikiweza kuwa vizuri
6. Festivals and Expo- Wine Tasting Festivals, Expo Mbali mbali

Dodoma haina that toursitic touch kama Kilimanjaro , Arusha au Mwanza so coperate offices lazima ziwe za kutosha
 
Nilitaka ku comment hivi , ni kitu kizuri kama Dodoma itapata HQ nying zaadi, that Airport Project would be worth it now, still dodoma needs vitu kama hivi kuifanya iwe an international city

1. Museums-
2. Conference centers
3. Big companies HQ
4. Indoor stadium kwa ajili ya ku host Games mbali mbali
5. Kuwe na team ya Mpira competitive mfano Dodoma JIji ikiweza kuwa vizuri
6. Festivals and Expo- Wine Tasting Festivals, Expo Mbali mbali

Dodoma haina that toursitic touch kama Kilimanjaro , Arusha au Mwanza so coperate offices lazima ziwe za kutosha
Yes, umepiga mule mule. Inabidi ukawe consultant pale Almashauri ya Dodoma wakulipe kwa madini kama haya.
 
Mombasa CITY

1700439148276.jpg
1700442504168.jpg
1700442465075.jpg
 
Tanzania ipo na more than 1000 bus companies. Kila moja ikiwa na at least 10 buses.

Unajielewa lakini hiyo label ya garage haina nafasi Tanzani.

Bus is Scania from Sweden
Body Marcopolo from Brazil

AVA imefanya kazi gani?
Hasira pelekea your fellow gays😂😂🤣👇👇

1728374227740.png
 

Tanzania Railways Corp standard gauge locomotives and EMUs unveiled​

By Railway Gazette International7 August 2023
SHOW FULLSCREEN
Tanzania Hyundai Rotem standard gauge trains (1)

TANZANIA: The first of the electric locomotives and multiple-units which Hyundai Rotem is to supply for Tanzania Railways Corp’s standard gauge line have been unveiled at the manufacturer’s Changwon factory in South Korea.
SHOW FULLSCREEN
Tanzania Hyundai Rotem standard gauge trains (7)

Guests at the event on July 26 included Tanzanian Ambassador Togolani Edriss Mavura.
SHOW FULLSCREEN
Tanzania Hyundai Rotem standard gauge trains (4)

In July 2021 TRC awarded Hyundai Rotem a 335·4bn won contract to supply 17 four-axle 25 kV 50 Hz electric locomotives and 10 EMUs for the 546 km standard gauge line which is under construction between Dar es Salaam, Morogoro and Makutopora.
SHOW FULLSCREEN
Tanzania Hyundai Rotem standard gauge trains (5)

Hyundai Rotem then awarded Škoda Transportation a KC580m subcontract to supply the electrical equipment for the locos from its plant at Plzeň in the Czech Republic.
SHOW FULLSCREEN
Tanzania Hyundai Rotem standard gauge trains (8)

The 10 six- and eight-car EMUs branded as Treni Zilizochongoka are being designed and manufactured with the local climate in mind.
SHOW FULLSCREEN
Tanzania Hyundai Rotem standard gauge trains (6)

Hyundai Rotem said it had been selected for the contract because of its experience of supplying vehicles to Egypt, Tunisia and Nigeria.
leteni picha ya mkaa sgr tuone kama mlinunua kiwandani au zimepigwa rangi
Only second hand trains ndio zinawezakwama mara saba in two months. Kenyan Trains have been operating for the past 7 yrs and has never experienced such numbers in terms of stalling😂😂
 
Back
Top Bottom