Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aisee wametoka mbali, from 👇👇
Screenshot_20240927-144153~2.png

To 👇👇🤣🤣🤣🤣
1727435787856.jpg


1727435803072.jpg

From uzinduzi Jua kali 👇👇🤣🤣🤣
Screenshot_20240927-144308~2.png

To Tanzanian style 👇👇🤣🤣🤣
1727435796857.jpg
 

Attachments

  • 1727435791777.jpg
    1727435791777.jpg
    325 KB · Views: 4
Huna hoja na kila mtu anajua kuwa wewe ni empty mind set.
Hakuwa kuwa na treatment ya corona virus mpuuzi wewe especially hapo Kenya.
Kama ingekuwepo msingekufa na mkajaa maambukizi kuliko yeyote hapa Afrika mashariki.
Kuizuia corona ilikua unatibu symptoms zake moja baada ya nyingine.
Zwazwa utabaki kuwa zwazwa tu
.
Mnapenda kubishana na wehu, huwezi nikuta nabishana hivo. 😂😂😂
Kwanini mnawapa wehu airtime!
Save your energy.
 
Mnapenda kubishana na wehu, huwezi nikuta nabishana hivo. 😂😂😂
Kwanini mnawapa wehu airtime!
Save your energy.
Mm nilishaacha ubishani wa hv, wanashindwa kujua kwamba hawa wasenge ukiwapiga huku wanarudisha mada ya zamani ili kupata unafuu, nimeona wameeudisha mada ya Magufuli wakati tuliimaliza zamani, wakataka kurudisha mada ya shule ambayo nayo tuliimaliza zamani, wakenya hawana jipya, sisi tuna mengi mapya ya kuonesha wao wamebaki na yale yale ya 2017 sisi tunawapiga kwenye electric train, mara BRT, mara marcopolo G7, mara new airports, mara JNHPP, mara EACOP, mara Busisi bridge, mara Msimbazi basin, mara tourism, mara Simba na Yanga kufanya vzr kimataifa yn mambo mengi, lkn wao ndiyo kwanza wanarudi nyuma, kwnn wasirudie mada za kitambo. Utakuta mtu mpaka leo anapost Xpress way wakati sisi hata hiyo Tanzanite bridge tulishaacha kupost.
 
Another Kenyan company ready to control Tanzanian airspace.

As of now there are 4 Kenyan airlines operating in Tanzania.😂

Kenya Airways
Precision Air
Jumbo Jet
Skyward Express
1727439019651.png

kwahiyo hapo nan majority shareholder. na kampuni imesajiliwa wapi? makao makuu yake yako wapi
1727439662768.png

majority shareholder wako hapo?
 
Mm nilishaacha ubishani wa hv, wanashindwa kujua kwamba hawa wasenge ukiwapiga huku wanarudisha mada ya zamani ili kupata unafuu, nimeona wameeudisha mada ya Magufuli wakati tuliimaliza zamani, wakataka kurudisha mada ya shule ambayo nayo tuliimaliza zamani, wakenya hawana jipya, sisi tuna mengi mapya ya kuonesha wao wamebaki na yale yale ya 2017 sisi tunawapiga kwenye electric train, mara BRT, mara marcopolo G7, mara new airports, mara JNHPP, mara EACOP, mara Busisi bridge, mara Msimbazi basin, mara tourism, mara Simba na Yanga kufanya vzr kimataifa yn mambo mengi, lkn wao ndiyo kwanza wanarudi nyuma, kwnn wasirudie mada za kitambo. Utakuta mtu mpaka leo anapost Xpress way wakati sisi hata hiyo Tanzanite bridge tulishaacha kupost.
Unakuta pages kibao halafu zote zinalazimisha nyeusi kuwa nyepe. 😂😂😂
 
One of the ugliest jerseys I have ever seen. Hapa Gor Mahia walijishusha sana.
🤣🤣🤣
Kisa it was designed by a Tanzanian lete the previous kit that was designed by a Kenyan tufanye comparison.
Unafikiri sports pesa wajinga wao hawakuona designer huko kenya?
In Tanzania football is a developed industry ambayo iko vibrant sports pesa ameangalia vitu vingi tuu uwezo wa designers, capability ya supplier na other logistics hasa ukizingatia lead times za delivery.
 
Back
Top Bottom