Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,140
- 17,875
Nenda kamuulize Mama Ngina akuambie ukweli. Kwanini Kundudwellers wanaitwa Nyang'au?
Nenda kamuulize Mama Ngina akuambie ukweli. Kwanini Kundudwellers wanaitwa Nyang'au?
Huyo ndiye Nyerere? Miaka ya 70s Tanzania ilikuwa mbele ya Kenya tena kwa mbali sana. Nyie mlikuja kujikongoja miaka ya 80s baada ya Tanzania kuingia kwenye vita na Uganda. So tumerudi kwenye nafasi yetu. Itabidi mvumilie tu.
Mzee hizi taarifa umezipata wapi? Gari la Tashirif plate no yake ni ipi? Hilo Gari jeusi aina ya V8 lilikuwa halina plate No? Mbona simple tu mzee.Bus limesimamishwa Saa 12 jioni na gari mbili mbele landcruiser nyuma V8 nyeusi wakaingia watu wenye silaha Aina ya SMG, na gari imesimamishwa kibo tegeta, bus lenyewe ni tashrif wakaingia watu wawili wenye silaha wakampiga pingu na kumshusha chini wakamuingiza kwenye V8 nyeusi, wananchi kwenye bus walipoulizwa wakajibiwa haliwahusu, Kesho yake kauwawa mwili umetupwa ununio tena mwili umepigwa na kumwagiwa tindikali usoni na Huyo ni mjumbe WA sekretari Taifa WA chama pinzani
Hvi kwa maelezo haya bado unahitaji D mbili kuelewa mzee Baba 🙃🙃🙃🙃
Jikite kwenye hoja 👇Bus limesimamishwa Saa 12 jioni na gari mbili mbele landcruiser nyuma V8 nyeusi wakaingia watu wenye silaha Aina ya SMG, na gari imesimamishwa kibo tegeta, bus lenyewe ni tashrif wakaingia watu wawili wenye silaha wakampiga pingu na kumshusha chini wakamuingiza kwenye V8 nyeusi, wananchi kwenye bus walipoulizwa wakajibiwa haliwahusu, Kesho yake kauwawa mwili umetupwa ununio tena mwili umepigwa na kumwagiwa tindikali usoni na Huyo ni mjumbe WA sekretari Taifa WA chama pinzani
Hvi kwa maelezo haya bado unahitaji D mbili kuelewa mzee Baba 🙃🙃🙃🙃
You were not yet born myemenAlisema wapi hayo maneno ?? 🤣🤣🤣🤣
Nenda kibera sasa maana huu muda sio wa kukaa Uhuru ParkYou were not yet born myemen View attachment 3090576
Wewe watchman kasafishe kucho zako ulale. Unaona hizo vitu viwili vinafanana?
Baada ya Kunya umetumia toilet paper kujisafisha au Maji?Wewe watchman kasafishe kucho zako ulale. Unaona hizo vitu viwili vinafanana?
Unafikiri ukiishi uswazini kila mtu ako na maisha kama yako?Nenda kibera kibera sasa maana huu muda sio wa kukaa Uhuru Park
Kuna watu mchezo bi mkubwa,akija kushtuka too lateHii issue inaleta maswali mengi sana daah
Tanzania inakwenda wapi jamani mbona tunaingia kwenye mtego mbaya Sana
View attachment 3090485
Nimezunguka sana ulaya sijawahi kuona ulaya iliyozungukwa na slums,ulaya ya watu wanaoshindia mlo mmoja 😀Ulaya yenyewe sasa 🤣 🤣 🤣 🤣
Haina BRT wala umeme wa uhakika, ulaya haina hata tram wala electrified railway 🤣🤣🤣🤣🤣
Ulaya haina approved stadium hata moja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ulaya haina uhakika wa kula 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ulaya ina ma slums mpaka ikulu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ulaya yenye raia wenye low life expectancy kuliko wote EA labda ulaya ya nyoko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tanzania ndiyo Ulaya as compared to your country kwasababu tumewapakata kwenye sector zote nilizotaja hapo juu, ugua polepole Mr. Red Eyes 👀 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kulijiliwaza ruhsaHuyo ndiye Nyerere? Miaka ya 70s Tanzania ilikuwa mbele ya Kenya tena kwa mbali sana. Nyie mlikuja kujikongoja miaka ya 80s baada ya Tanzania kuingia kwenye vita na Uganda. So tumerudi kwenye nafasi yetu. Itabidi mvumilie tu.
Level ya Kundustan ni South Sudan.Kulijiliwaza ruhsa
Lakini New York of Africa iliyojaa uswazi kila Kona uliona, sivyo?😂😂Nimezunguka sana ulaya sijawahi kuona ulaya iliyozungukwa na slums,ulaya ya watu wanaoshindia mlo mmoja 😀
In Mama Ngina voiceLakini New York of Africa iliyojaa uswazi kila Kona uliona, sivyo?😂😂
Haitbadili chochote kwamba tupo mbele yenu in virtually everything worth mentioningLevel ya Kundustan ni South Sudan.
Hasira zako peleka Tandale bongolala. Sio kosa lako kuzaliwa TanganyikaIn Mama Ngina voice
We all Know; Mama Ngina owns Kenya.Hasira zako peleka Tandale bongolala. Sio kosa lako kuzaliwa Tanganyika