Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo alipata kazi ya uwatchman serikalini akaona amefika. Kila mara, ''nimeajiriwa na serikali''. Alafu serikali yenyewe ni ya Bongo inayolipa clinical officer 25k za Kenya kwa mwezi, sasa yeye watchman atafikisha 10k kweli? 🀣 🀣
Hata ukisema nmeajiriwa kama Watchman serikalini niunaji console tu, ukweli ni kwamba unajua vzr nina kazi nzuri, na ni handsome pia unlike you Kenyans 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hata ukisema nmeajiriwa kama Watchman serikalini niunaji console tu, ukweli ni kwamba unajua vzr nina kazi nzuri, na ni handsome pia unlike you Kenyans 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Kazi ya watchman ni kazi nzuri? Ebu tuonyeshe job offer letter yako kama indeed wewe sio watchmanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
Nyonga shingo. Gor Mahia is the husband of all East African teams.


View: https://x.com/OfficialGMFC/status/1827682921366409314
Nafurahi sn kuona mnakuja kumaamake nakuambia ile siku Gor Mahia itakutana na Yanga ndiyo mtajui hamjui, mm nataka mkutane na Yanga japo sio level yenu, no wonder mliomba mfundishwe na Yanga wakapotezea mana nyie bado sanaa. Sasa pambaneni mfike group stage kumaamaeee 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…