Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii plate no ya mwaka jana tu. Kenya watu maskini sana ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Tuliambiwa wananunua magari mapya


1723977889638.png
 
Hii plate no ya mwaka jana tu. Kenya watu maskini sana ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Tuliambiwa wananunua magari mapya


View attachment 3073321
Nitawaletea picha za probox zinavowabeba wakenya kama wanyama hua wanabananishwa kwenye probox kama kondoo vile ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nitawaletea picha za probox zinavowabeba wakenya kama wanyama hua wanabananishwa kwenye probox kama kondoo vile ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hakika Tanzania is the Europe of Tanzania
Kuna jamaa anaitwa Pluto anakutanisha wapenzi na kuwagonganisha. Wakenya wanashangaa namna ya watanzania wanavyo handle mambo yao bila ugonvi.
Check hapa na comments za Watu


View: https://youtu.be/znejOOqBPdM?si=tYywRKDX6bQNzXf0
 
Hakika Tanzania is the Europe of Tanzania
Kuna jamaa anaitwa Pluto anakutanisha wapenzi na kuwagonganisha. Wakenya wanashangaa namna ya watanzania wanavyo handle mambo yao bila ugonvi.
Check hapa na comments za Watu


View: https://youtu.be/znejOOqBPdM?si=tYywRKDX6bQNzXf0

Dah hyu Pluto amewaingiza cha kike, hizi stories za kuwaunganisha ni scripted. Nishapiga nae kazi alipofika mitaa yangu flani tukapiga show Kali Sana. Hakuna wapenzi hapo hao ni model wanalipwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Umeharibu mda kuleta picha za kawaida wakati sisi hatutafuti sana. Unashuka Sgr unapanda bajaj LDC type shit ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚View attachment 3073347
Hiyo ni ya Morogoro Mkundi.
Ulitaka wapande nini ili kufika barabara kuu!?
Wapande ndege au!?
Huo ndio usafiri utumikao sana hapo Morogoro,hata daladala ni chache usafiri mkuu bajaji.
Shida yenu mwataka mfanyacho ninyi na sisi tufanye,we do have our own taste kijana.
 
Unapoteza muda tu.
Yani Kenya haki si walimkosea nini Mungu baba wa mbinguni!!??
Yani features zote za SGR trains za Kenya 90% zinafanana na za metre gauge ama narrow gauge trains za TRC.
Hadi viti hadi spidi.
Haki ya Mungu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Mungu wasamehe hawa waja maana unawatesa sana wanateseka.
 
Hiyo ni ya Morogoro Mkundi.
Ulitaka wapande nini ili kufika barabara kuu!?
Wapande ndege au!?
Huo ndio usafiri utumikao sana hapo Morogoro,hata daladala ni chache usafiri mkuu bajaji.
Shida yenu mwataka mfanyacho ninyi na sisi tufanye,we do have our own taste kijana.
Wapi tarmac ??
Wapi public transport??
The fact kwamba hio picha haikupi hasira inadhihirisha LDC mentality yako.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom