Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa wajinga wanajikuta eti wajanja kisa kuuziwa? Hawajui sio rahisi hivyo sheria zikiwepo ni ngumu kujidai unamiliki maana wakiamua hauna chako.
Wengi sana wanaingizwa chaka hadi kufikia kujenga,sheria ya TZ ni ngumu mno hata kwa wazawa then ndio iwe kwa kunyan,nyerere aliona mbali mno kuweka hizi sheria
 
Trailer za bongo zinatumia number same number plates sequence na gari za kawaida. In Kenya trailers hutumia a different sequence, same with Tractors and Heavy Machinery. Kenya ilibadilisha number sequence za motorcycles na TukTuks in 2009, Bongoslum ilifanyika in 2016.
Unajua permutations? Zingine ni porojo tu.
 
Haka kajamaa ndo kale kanajinadi humu anapokea mshahara zaid ya tsh 3m?
Haka ndo kale ka "my PAYE is bigger than your salary"?
Screenshot_20240815-124316_2.png
1723730080934.jpeg
 
Mwambie na Family ya Bidyanguze wanaomiliki WORLD OIL yenye depot Kigamboni.
Shida ya hawa ndugu zetu bragging nyingi sana.
Ila TZ ni watu wa kuishi maisha ya kuridhika,mtu anaridhika na maisha yake basi life linasonga pasi na bugudha yeyote.
Ila hawa ndugu zetu mtu akipata vijihela kidogo basi keleleeeee too much keleleeee.
 
Hawa watanzania wanateseka bwana. Ukitaka kujua mwenye anaishi maisha magumu angalia makucha and fingers. Huyu watchman aka The best 007 maisha inamcharaza kweli kweli😂🤣👇

View attachment 3072089
Hilo sio tatizo hana tatizo lolote jamaa wa watu.
Hiyo picha inaonesha jamaa ni mtu wa kung'ata sana kucha ndio maana vidole vipo hivyo.
Mtu yeyote anayekula sana kucha lazima vidole viwe hivyo.
 
Haka kajamaa ndo kale kanajinadi humu anapokea mshahara zaid ya tsh 3m?
Haka ndo kale ka "my PAYE is bigger than your salary"?
View attachment 3072211View attachment 3072212
Mzee is hile mambo ya Salary yangu ilikuuma sana bwana😂😂🤣

Yani hadi wa leo unakumbuka tu kitu Nilikuambia kuhusu wewe earning peanuts?😂😂🤣🤣 Anyway, that’s the truth of the matter😂🤣
 
Back
Top Bottom